Danniel mayombya
Member
- Sep 15, 2016
- 15
- 4
Lipe boya1wapo...lenye shilling c ndo zenuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh .....
Asilimia kubwa ya wanaume wanalea watoto wasio wao........[emoji27]
[emoji23] [emoji23]Acha tu waeendlee kunilelea watoto
Mmmmmh kwanini uwakaribishe room...kwani hukuweza kukaa nao nje..sikutaka kufanya nao mapenzi walinilazimisha
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.
Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Kisiri siri kivipi..? unajua DNA inavyopimwa kweli..?Usimwambie yeyote! Subiri ujifungue alafu pima DNA kisirisiri
Ata sijui!Kisiri siri kivipi..? unajua DNA inavyopimwa kweli..?
Ulivyokuwa unawaita hotelini ulitegemea waje kufanya nini?, Wa kwanza amekulazimisha, fine kwa nini uite tena wa pili? Bogus.sikutaka kufanya nao mapenzi walinilazimisha
Nipe na mimi then nikusidie kulea huyo mtoto, ukishajifungua mtafute mwenye mzigo!nitamjua tu nikizaa ila wa kulea nae mimba simjui