Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

USHAWAHI SKIA MAPACHA WATATU WALIZALIWA VIETNAM ILIKUA KILA MMOJA ANASURA YA BABA YAKE SBB WANAUME WOTE WALIPIGA PEKU CKU1 MUDA TOFAUTI NDO AKAPATA SBB MLANGO WA HANDAKI HAUKUJIFUNGA MAPEMA,SASA WEWE WAAMBIE WOTE UNA MIMBA MANA KAMA WALIKIFUNGUA KIPOCHI MANYOA CK1 NA KAMA MLANGO WA HANDAKI HAUKUJIFUNGA MAPEMA TUTEGEMEE YOTE YOTE.....UJIFUNGUE SALAMA
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kizazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Ulipokuw umeitwa hotelini ukavua pichu ulituomba ushauri?c uliachia tu?ulipompigia wa pili ulitushirikisha?ulivyokuwa mnashauriana amwage wapi ulitushirikisha?una matatizo ndio unayaleta humu tukushauri?uliyekula naye mboga ule naye ugali mkavu,unatafuta nini wanaume wa tatu?au hyo papuchi yko ni nidiketa ina washa kila saa?Ushauri ukiwa na watatu wa nyumbani mpe papuchi hawa wa nje wape mini kabang!
 
Hao wanaume wame sperm donor uyo mtoto ni wa kwako! Wala si mbaya kujiandaa kuwa single mother badala ya kumsingizia mwanaume mmoja wapo iyo ni mbaya utakuja kuumbuka baadae kama Mungu alivyo kuumbua kwa hili
 
yaani kuna vibint vingine vinastahili kunyongwa mpaka vife maana ni bure kabisa PUNGA
 
Ulipokuw umeitwa hotelini ukavua pichu ulituomba ushauri?c uliachia tu?ulipompigia wa pili ulitushirikisha?ulivyokuwa mnashauriana amwage wapi ulitushirikisha?una matatizo ndio unayaleta humu tukushauri?uliyekula naye mboga ule naye ugali mkavu,unatafuta nini wanaume wa tatu?au hyo papuchi yko ni nidiketa ina washa kila saa?Ushauri ukiwa na watatu wa nyumbani mpe papuchi hawa wa nje wape mini kabang!

HUYU ASHAONESHA MIKATO YA HOVYO NDIO TABIA ZAKE
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kizazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.

MIMI NIPE KAZI YAKUKUNYONGA TU WEWE MDADA MAANA SASA HUNA MAANA WAWILI KWA MARA MOJA HUONI KINYAA ? MUNGU TUSAIDIE UNAENDA PEKECHA UJINGA ULOPEKECHWA MUDA SIO MREFU
 
We dada umekosea sana ila nkuambie tu subiri uzae utaona mtoto kafanana na nani mana kiukweli kwasaivi utapata ugumu kujua, mana nna mfano wa kweli wa kwangu mimi mwanamke wang alipata mimba yangu kwa stail hio hio ya kukojoa nje tena kesho yake tu akaanza dalili za mimba
 
SIJUI HALI YA HEWA YA ARUSHA NDIO INAWAFRASTRAIGHT HAWA WADADA MAANA HATA SIJUI WAMEPATWA NA NINI HAWAISHIWI NA VISA TENA VIKALI
 
Na wewe una kiranga sana , umeshasex na mume wa mtu kwa nini umpigie tena mpenzi mwingine siku hiyo hiyo? hivi kusema hujui mzunguko wako wa mwezi na siku za hatari?

Tunafanya kampeni ya kupunguza single mama lakini naona ndiko unakoelekea.

cha kufanya tulia kwanza uzae baadaye angalia mtoto anafanana na nani? mpe mtoto
Heheheheh ugwadu on point haaha kuna wanawake wanajiweza kabsaa
 
Moja ya madhara mengi ya zinaa ni hilo lililo kutokea na kama ukiendelea nayo utakutana na mengine mengi sana,jiandae kwa endless thread utakozoanzisha humu kutaka msaada.
 
Back
Top Bottom