Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Sasa mliocomment mnamshangaa nini huyu dada wakati mimba za siku hizi nyingi zipo hivi????
zinaingia kwa njia ya wireless au Bluetooth au infared? acha kutetea ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mliocomment mnamshangaa nini huyu dada wakati mimba za siku hizi nyingi zipo hivi????
Walikulazimisha vp wakati huyo mmoja hadi mlienda kupima, usitufanye sie watotosikutaka kufanya nao mapenzi walinilazimisha
Peleka kwa mamako! Mwambie akufafanulie mambo hayo yanamaana gani kutokea kwako!Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.
Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Ha!ha! Ha! Ati kupatwaKila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Walikulazimisha vp wakati huyo mmoja hadi mlienda kupima, usitufanye sie watoto
Hilo nalo neno mamakeMmmmhhh hata mimi nilipitia "Usichana" lakini hii yako ni "Chiboko" wanaume wawili per night?? Aiseee..... Hongera sana kwa kupata hiyo mimba...... maana siku hizi pia kupata mimba nayo ni "deal"........ Ukianza kuumwa kiuno na mgongo usitafute mchawi.... uchawi wako upo kwenye kuchanganya shahawa bila mpangilio ni hayo tuuu
KUM*A INAPGWA MAJI HIYO AKIJA MWINGINE ANAIYONA HAIJATUMIKA DUUH!Duhhhh yaani umepiga peku na wanaume wawili kwa usiku mmoja. 😵😵😵
Asituchoshe akili na huo ujinga wake, unawaita wanaume hotelini halafu wakuache hivihivi si utawaona poyoyocha ajabu yeye mwenyewe kawaita
Itakua ya mani fongo mpelekeeNilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.
Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Ha ha ha ha haKila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Walikulazimisha kwani walikubaka si ulifunua mwenyewe sasa ushauri chagua anaejua kuendesha hilo fusosikutaka kufanya nao mapenzi walinilazimisha
Look umenfanya nicheke kwa nguvuKila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Tumeambiwa tufyatue watoto huyo ndio kaanzaNa wewe una kiranga sana , umeshasex na mume wa mtu kwa nini umpigie tena mpenzi mwingine siku hiyo hiyo? hivi kusema hujui mzunguko wako wa mwezi na siku za hatari?
Tunafanya kampeni ya kupunguza single mama lakini naona ndiko unakoelekea.
cha kufanya tulia kwanza uzae baadaye angalia mtoto anafanana na nani? mpe mtoto