Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Umemuita wa kwanza akakugonga ukaona haitoshi ukamuita mwingine akakugonga unapenda mgegedo[emoji23][emoji23]
 
Duh siku hizi binadam sawa na mbuzi mpaka mtoto babake kumpata unacheza sandakalawe
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.
Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
ni mimba ya jini mahaba
 
pale ardhi inapopandwa na wapandaji wengi lzm ichanganyikiwe mengine mabua n.k
huyo mtoto atakuwa na baba wengi usikute hata mimi ni baba yake
 
Uki fikiri vizuri...utajua tu mimba ni ya nani. Ila kama hujui ni ya nani chagua unaye mpenda sana kati yao na umwambie. Kama huna unaye mpenda sana..basi kuwa single mother.
 
Kitu cha muhimu sana nikwambie. .mtoto kumpa last name ambayo sio yake ni majanga makubwa sana kwa maisha ya mtoto. .Trust me on that!
 
View attachment 401467View attachment 401467
Vipi huu ujauzito ni mwingine au ni ule Wa 2013 ?
Maana ulitangaza kutulia sasa sijui ,kama umepigwa p na wawili ndani ya Masaa he ulivyokua hujatulia di ulikua shidaas
Babeeeki changudoa changudoa tu...wanaume mna kazi angalien msiiingie mtego mkaoa mtu km huyu mtakufa kwa ukimwi na puureeeshaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Mume wa mtu ndo mwenye kijusi..ila sasa jiandae kisaikolojia mana umeuwasha moto..muda mwingine muwe mnaangalia makabila ya kuwajaribu na hizo mimba kama kwetu wewe unaweza kuja zaa muhogo kwa mambo ya kujitakia
Mhh wewe in kabila gani
 
Mshikishe yule aliyemwaga n'je, we komaa nae tu mana huyu mume wa mtu tambua si wako,na siku yeyote anaweza kurudiana na mke wake
 
Back
Top Bottom