Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Nimepata ujauzito sijui ni wa nani

Wewe jinga umenikumbushasha kipindi niko chuo Kuja demu nilikuwa natoka nae ila alikuwa anaishi mwanaume (hawajaoana ila familia zinajua kuwa hao ni wapenzi na bado kidogo walikuwa wafunge ndoa) alikuwa na safari ya kwenda kwa mume wake week moja yote tulikuwa tunalala nae ile week akasepa alivyofika kwa bwana ake nae akapiga alivyo rudi nikampokea nikapiga sasa week iliofuata ilikuwa ndo aingie kuchinja jogoo (period)
demu akanipigia Simu niende room kwake kufika namkuta hana furaha kumuuliza sindo akaniambia ana mimba
nikamwambia tumsingizie jamaa alafu mm nile akakubali
ila jamaa yake sijui alienda toa maana sijawai pata mrejesho wa ile Mimba tena
 
Fanya ana ana ana doo, kachanika pastoo, kaajamba, ushuzi unanukaa, tena saana , sana kabisa....atakae kua wa mwisho kudondokewa na kidole ndio mwenye mzigo
 
Dah hapo km sijaelewa ujui mimba ni ya Nani au unaomba ushauri mimba umpe Nani, wkt unasex unajua aliyekupa iyo mimba
 
Kwa sasa Fanya kuilea mimba! Baada ya kujifungua angalia ana fanana na nani afu umwambie!
 
Kila mmoja mwambie ni mimba yake, utakapojifungua atakaefanana nae ndo baba ake, mtoto akifanana na wewe hiyo sasa itakua kupatwa kwa mimba....
Evelyn umetisha. Nimecheka hadi wananishangaaa
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.

Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Mimi hapo ndio huwa nawashangaa. Umesema ni mume wa mtu halafu ukasema wameshaachana...! Sasa utasemaje ni mume wa mtu wakati wameshaachana?
 
Sasa huku jf ndo kuna gest uliyotumia kusex au ndo ss tukishuhudia ulipokuwa unafanya umalaya wako jinga kweli ww nenda kaulize pale gest ulipotoa papuch ndo watakuambia mimba ni ya nani
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.

Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Subiri azaliwe Waite wakapime DNA atakaye kuwa wake utaolewa naye maana wote niwazuri tuu. Usikisie ukumpa mtu mtoto asiye wake. Unaonaje ushauri wangu?
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.

Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Huyo atakuwa wangu, em ukuje tulee
 
Nilisafiri kwenda mkoa fulani kikazi nikafikia hoteli moja kubwa, nikiwa hotelini alikuja mpenzi wangu wa zamani kunisalimia, bahati mbaya tukasex tulipimana HIV kwa vile ana mke akaondoka, nikampigia mpenzi wangu mwingine huyu yupo single akaja nae akataka tusex nikakataa kabisa ila akawa amenishikilia kwa nguvu nae akanimwagia mbegu zake nje hatukusex kabisa ile ya penetration kwa sasa nina ujauzito miezi mitatu sijamueleza yoyote kati yao.

Nilivyorudi Arusha nina mpenzi wa kudumu nae tumeendelea ila najua mimba sio yake maana tunapishana mwezi toka niliposex nae na mimba ilipotokea.

Huyo mume wa mtu nae ananipenda sana na ameshaachana na mke wake sio kwa ajili yangu walikuwa na matatizo muda mrefu hata mimi sikutaka aachane na mkewe hawa wote wananitaka, hii mimba niipeleke kwa nani wote ni wanaume wazuri tu ila nimekwama kabisa.
Ongera yakupasa ushukuru kwa kuwa na uzazi katki kizazi chako
 
kwan hiyo mimba anayo nani???
kama unayo wewe...!!!
ni ya kwako!
 
Nakuuliza swali kama ukipata pesa itakuwa ya nan???
 
Back
Top Bottom