Hiyo ngoma mkuu. Yaani ni dalili ya kwanza ya Ukimwi.Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
I have questions, vinawasha?Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Mkuu mbona kama govinda?Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
PangusaNimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungesimamisha kwanza ndio upige picha... Hapo vidonda havionekani vizuri maana vimefichwa na mkunjamano wa ngozi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]achana na malaya watakuua, bei chee lakini ona sasa umepata bawasili la boo
Ukienda hospitali, usisahau mrejeshoNimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Pole sana!!! STDs zipo mkuu!! Wanawake wabovu wabovu ni hatari sana!!Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Kama umefanya matibabu ya malaria au ugonjwa wowote mwingine siku za karibuni rejea kujua kama umetumia dawa zenye sulfur, inaweza kuwa ni side effectNimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Ni kaswende, lakini kathibitishe hospitalini.Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado cjaweza kwenda hospital . Je ni ugonjwa gn?
View attachment 1689802
Usiogope hyo ni fungus tu ya kawaida chukua ethromythin na citizen sku 3 tu utaona mabadiliko makubwa sana
Dallydelux njoo ujibu maswali haya mkuuI have questions, vinawasha?
Je ukikuna vina kupa raha flani addictive inayofanya uendelee kukuna?
Una mda gani navyo ? Tuanzie hapo
Wakati mwingine afadhali wa Baa kuliko jinsi wanavyokitembeza hata memba wakike wa JF ndugu yangu. Maisha hayana formulaHaya ndiyo madhara ya kutafuna mashine mbovu za kuokota kwenye mabaa