Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Sasa hiyo ya usenge na usagaji wakitaka kujiridhisha inamuaje kama siyo kweli??
Asylum zinapatikana kwa interview usidanganywe na mtu.

Wapo wahuni tu wa vijiwe vya Dar wazamia meli wamemwagwa hapo Canada na claim yao wao ni wakimbizi na wamepewa makaratasi na wanalipwa public fund, wanaotaka kusoma wanapelekwa shule.

Canada ndio nchi pekee duniani yenye uhitaji wa raslimali watu.
 
Asylum zinapatikana kwa interview usidanganywe na mtu.

Wapo wahuni tu wa vijiwe vya Dar wazamia meli wamemwagwa hapo Canada na claim yao wao ni wakimbizi na wamepewa makaratasi na wanalipwa public fund, wanaotaka kusoma wanapelekwa shule.

Canada ndio nchi pekee duniani yenye uhitaji wa raslimali watu.
Nime ku pm mkuu
 
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Utafia jela ndugu
 
Hongera sana.

Cha msingi ni kufika pale mengine yote utazidishiwa.

Nani umewahi kusikia kaenda akarudi kwa ugumu wa maisha... Exactly. Hayupo. So inawezekana.

Canada sio pagumu sana kama USA ndo maana wengine wakifika USA wanajilipua kutafuta ukimbizi Canada ila hapajangamka sana kama nchi ya maziwa na asali 🇺🇲

Kazi za under the table zipo Kila sehemu kikubwa upate mwenyeji Mmatumbi mwenzako atakupa ramani zote.
Asante sana mkuu
 
Kuzamia nchi yeyote ya Nje bila proper document ni shida sana kuliko shida za Tanzania. Ni maisha ya upweke, na struggle nyingi.

Huwezi liona mapema, ila utaliona as you age, kuishi nje bila uwezo wa kutoka na kuingia ni maisha ya upweke sana.
 
Hujui

Wewe huijui Kanada. Watakurudisha vinginevyo useme wewe ni msenge au msagaji. System yao hsipenyeki
Maskini wazungu ndo walitumalizia vijana kumbe akikubali kuwa ni shoga au msagaji anapokelewa kwa mikono miwili? Ukute vijana wetu wakifika huko wanalazimika kutumia hii njia maskini.

Mleta mada hope utasoma hapa mimi sina experience ya huko nina marafiki tu ila walinambia ukifika huko jaribu kusoma hata short course hii itakufungulia njia hawa wapuuzi wasije kuharibia maisha.

All the best.
 
Asilimia kubwa ya wabongo ni chuki na kukatishana tamaa. Kuna mijitu inamtisha mshikaji utafikiri Canada ni kuzimu.

Tafuta wajuzi mkuu ujilipue mbele. Bongo nyoso ujinga tu. Hata mimi nikipata chance mbele kwa mbele tutajuana Huko Huko hakuna kutishana hapa
 
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?

Cha maana wewe kaombe kazi. Ukipata umeula
Ntakutumia emails za wadau na hata namba.
 
Back
Top Bottom