Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuuCanada kwa sasa unaweza kubadili visiting Visa kupata work permit.
Kwa hiyo mkuu, Ukifika soma ramani kisha omba work permit.
Hii njia inaitwa asylum sujapanga kutumia njia ya kipuuzi hii, mimi nataka kuishi kibabeMaskini wazungu ndo walitumalizia vijana kumbe akikubali kuwa ni shoga au msagaji anapokelewa kwa mikono miwili? Ukute vijawa wetu wakifika huko wanalazimika kutumia hii njia maskini.
Mleta mada hope utasoma hapa mimi sina experience ya huko nina marafiki tu ila walinambia ukifika huko jaribu kusoma hata short course hii itakufungulia njia hawa wapuuzi wasije kuharibia maisha.
All the best.
Asante mkuuAsilimia kubwa ya wabongo ni chuki na kukatishana tamaa. Kuna mijitu inamtisha mshikaji utafikir Canada ni kuzimu.
Tafuta wajuzi mkuu ujilipue mbele. Bongo nyoso ujinga tu. Hata mm nikipata chance mbele kwa mbele tutajuana Huko Huko hakuna kutishana hapa
😃😆🤣Pia ... NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
You knocked on the wrong door mkuu. Canada hawazamii, utakufa kwa njaa huko.Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.
Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.
Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.
Karibuni wadau mnaoishi huko.
NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Canada siyo sehemu ya kujilipua mkuu,Asilimia kubwa ya wabongo ni chuki na kukatishana tamaa. Kuna mijitu inamtisha mshikaji utafikiri Canada ni kuzimu.
Tafuta wajuzi mkuu ujilipue mbele. Bongo nyoso ujinga tu. Hata mimi nikipata chance mbele kwa mbele tutajuana Huko Huko hakuna kutishana hapa
🤣🤣🤣🤣🤣NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Nchi gani zinafaa kujilipua? Nimeshapata VISA mkononi mkuu.Canada siyo sehemu ya kujilipua mkuu,
Ulizia mashamba makubwa ya ngao yapo upande gani potelea huko kama vibaruaWakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.
Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.
Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.
Karibuni wadau mnaoishi huko.
NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
kwahiyo umesaganywa weeeeNimeishi kule miaka 20 sasa niko ujep
US, UK, German ni rahisi zaidi, pia kazi zipo but Canada aisee huwa panafaa ukiingia kama mwanafunzi, mkimbizi, asylum.seeker, na skilled or unskilled worker.Nchi gani zinafaa kujilipua? Nimeshapata VISA mkononi mkuu.
Shukrani mkuuUS, UK, German, Australia ni rahisi zaidi, pia kazi zipo but Canada aisee huwa panafaa ukiingia kama mwanafunzi, mkimbizi, asylum.seeker, na skilled or unskilled labor.
Anyways najua mpaka umefikia kufanya maamuzi hayo lazima utakua una sababu nzuri na mikakati zaidi ya uliyoandika hapa .
Mimi nikutakie kila lenye heri.
Asante mkuuUlizia mashamba makubwa ya ngao yapo upande gani potelea huko kama vibarua
Acha wamle si ndiyo akili yake. Basha hawawataki huku. Wao wanatangaza usenge.Ajilipuwe kama Basha sio shoga watamkubali sio kujilipuwa shoga ni hatari watamla kama hawana akil nzuri.