Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

I will play the devil's advocate here:

Ukikubali wewe ni shoga ili upate documents za kuishi kihalali nini kibaya kinakutokea kama ndani ya nafsi yako unajua wewe sio shoga? Documents zinaandikwa wewe ni shoga?

Ukikubali wewe ni shoga na kesho ukasema umekuwa straight inakatazwa? Sikuhizi kuna gender inaitwa non-binary umeisikia? Hao non-binary wanakatazwa na nani kuwa non-binary?

Kuna story nyingi sana za mitaani mnazitilia maanani na kujazana woga tu.
Hii nilisikia watu wanaongea.. Kumbe kweli watu wanajilipua kwa njia hii
 
Jipe moyo tu. Huu ndiyo ujinga wa baadhi ya watu. Unataka utiwe moyo hata kwenye jambo ambalo haliwezekani! Mie huwa sipendi kudanganya au kujidanganya

Ujinga ni kudhani huko Canada umefika wewe tu. Tunaijua Canada kuliko wewe. Huu mwezi naenda Toronto kwenye concert tu, concert tu. Let that sink in.

Tumeuliza tuonyeshe mtu mmoja tu aliyerudishwa bongo kwa ugumu wa maisha CN? Mmoja tu.
 
Ujinga ni kudhani huko Canada umefika wewe tu. Tunaijua Canada kuliko wewe. Huu mwezi naenda Toronto kwenye concert tu, concert tu. Let that sink in.

Tumeuliza tuonyeshe mtu mmoja tu aliyerudishwa bongo kwa ugumu wa maisah CN? Mmoja tu.
Du! Kujua kwako Kanada 'yako' usikutumie kuwahadaa wenzako. Kwani kwenda Toronto ni big deal? When you arrive their, it will smoothly sink in. Whatever you want them to do with you, they surely will. And indeed, it will sink in even more smoothly and deeper. Haya nenda ukafanye mambo hayo.
 
Du! Kujua kwako Kanada 'yako' usikutumie kuwahadaa wenzako. Kwani kwenda Toronto ni big deal? When you arrive their, it will smoothly sink in. Whatever you want them to do with you, they surely will. And indeed, it will sink in even more smoothly and deeper. Haya nenda ukafanye mambo hayo.

Naenda Toronto oftentimes. I know what I'm talking about.

Watu wanafika Canada kila siku and they stay for good. Njia za kubaki Canada ni nyingi na rahisi kuliko US that's a fact. Woga wako na ujinga wako usiwaambukize wengine, kama uliishi 20yrs ukasanda ni shida zako.


 
US, UK, German, Australia ni rahisi zaidi, pia kazi zipo but Canada aisee huwa panafaa ukiingia kama mwanafunzi, mkimbizi, asylum.seeker, na skilled or unskilled worker.

Anyways najua mpaka umefikia kufanya maamuzi hayo lazima utakua una sababu nzuri na mikakati zaidi ya uliyoandika hapa .
Mimi nikutakie kila lenye heri.
Australia iondoe hapo, usimdanganye mwenzio. Kuna mambo yanawezekana US tu labda na huko kwingine.

Kuna nchi kwa asili ziko na tolerance kwa migrant, be it mzamiaji au ameingia legally. Auz wanahitaji labour sana ila ingia legally kwa visa kama ya kazi, ukiwa na pesa nyingi labda uombe ya investor, ingia na visa ya mwanafunzi wakati wako wa kusoma ubahatike kupata mume/mke ambaye ni PR, ama sivyo ukienda kama visitor muda wako ukiisha utarudi tu, hivyo hivyo kwa wanafunzi na hivyo hivyo kwa waliongia na visa ya kazi lakini baada ya muda hujapata wa kuendelea kukusponsor kazi, au skill yako is no longer in shortage. Utarudi!

Kama ulishaenda ukarudi ni rahisi kuenda tena.
 
Du! Kujua kwako Kanada 'yako' usikutumie kuwahadaa wenzako. Kwani kwenda Toronto ni big deal? When you arrive their, it will smoothly sink in. Whatever you want them to do with you, they surely will. And indeed, it will sink in even more smoothly and deeper. Haya nenda ukafanye mambo hayo.
Father of all nation mm ni albino na kila uchaguzi unapokaribia maisha yetu hatarini sana, je siwezi tumia hii kama kigezo cha kujilipua Canada? Nina bachelor ktk masuala ya historia.
 
Father of all nation mm ni albino na kila uchaguzi unapokaribia maisha yetu hatarini sana, je siwezi tumia hii kama kigezo cha kujilipua Canada? Nina bachelor ktk masuala ya historia.

Inawezekana. Nawajua albino wawili walioondoka bongo sababu hiyo.
 
Ukifika huko usisahau kwenda kwa sele bonge kula chipusi.
 
Father of all nation mm ni albino na kila uchaguzi unapokaribia maisha yetu hatarini sana, je siwezi tumia hii kama kigezo cha kujilipua Canada? Nina bachelor ktk masuala ya historia.
Kwa hili unaweza bila shaka yoyote ila kabla ya kufanya hivyo, hakikisha kuna tukio linalohusisha watu wa aina hii nchii au nchi ya jirani ndipo ulianzishe mwanangu
 
Naenda Toronto oftentimes. I know what I'm talking about.

Watu wanafika Canada kila siku and they stay for good. Njia za kubaki Canada ni nyingi na rahisi kuliko US that's a fact. Woga wako na ujinga wako usiwaambukize wengine, kama uliishi 20yrs ukasanda ni shida zako.


Kama wewe ni mshiriki mzuri wa ushoga, unaweza kujilipua na kufanya hayo unayofanya. Nenda kahangaike. Huna haja ya kutukanana wakati mwili wako ni mali yako. Kujilipua ni kushindwa kuwa mbunifu na kushindwa maisha nyumbani.
 
Hii nilisikia watu wanaongea.. Kumbe kweli watu wanajilipua kwa njia hii

Wapo lakini sio lazima. Hulazimishwi kulala na mtu, documents haziandikwi wewe ni shoga. What's the worse that could happen?

Watu wanajilipua kwa njia yeyote ile ilimradi wapate vibali na kuishi kwa uhuru. Makonda alipotangaza vita against gays watu walikula karatasi left and right Canada na US. Leo hii wanadunda tu.

But to each their own.
 
Wapo lakini sio lazima. Hulazimishwi kulala na mtu, documents haziandikwi wewe ni shoga. What's the worse that could happen?

Watu wanajilipua kwa njia yeyote ile ilimradi wapate vibali na kuishi kwa uhuru. Makonda alipotangaza vita against gays watu walikula karatasi left and right Canada na US. Leo hii wanadunda tu.

But to each their own.
Kwa hili nakubaliana nawe kuwa mashoga hawa wapo wengi. Wanajulikana kama mashoga kwa vile walijitambulisha hivyo. Je ni kosa au tusi kuwaita mashoga wakati wao ndiyo walioishiwa ubunifu hadi wakajiita mashoga? Je tutajuaje kama siyo bwabwa kweli? Kwa mtu mbunifu na anayejiheshimu, this is the last thing you can think of let alone do.
 
Kwa hili nakubaliana nawe kuwa mashoga hawa wapo wengi. Wanajulikana kama mashoga kwa vile walijitambulisha hivyo. Je ni kosa au tusi kuwaita mashoga wakati wao ndiyo walioishiwa ubunifu hadi wakajiita mashoga? Je tutajuaje kama siyo bwabwa kweli? Kwa mtu mbunifu na anayejiheshimu, this is the last thing you can think of let alone doing. Huku ni kuvalia njaa suti mtafiiirwa weee mpaka mkome nyambaffu wakubwa sana
 
Australia iondoe hapo, usimdanganye mwenzio. Kuna mambo yanawezekana US tu labda na huko kwingine.

Kuna nchi kwa asili ziko na tolerance kwa migrant, be it mzamiaji au ameingia legally. Auz wanahitaji labour sana ila ingia legally kwa visa kama ya kazi, ukiwa na pesa nyingi labda uombe ya investor, ingia na visa ya mwanafunzi wakati wako wa kusoma ubahatike kupata mume/mke ambaye ni PR, ama sivyo ukienda kama visitor muda wako ukiisha utarudi tu, hivyo hivyo kwa wanafunzi na hivyo hivyo kwa waliongia na visa ya kazi lakini baada ya muda hujapata wa kuendelea kukusponsor kazi, au skill yako is no longer in shortage. Utarudi!

Kama ulishaenda ukarudi ni rahisi kuenda tena.
Upo sahihi, Australia ni kama Canada tu. Ila namuonea huruma sana huyo anayetaka kwenda kuzamia Canada. Atachomoka mwenyewe kama adui aliyeombewa njaa.
Anatakiwa ajiulize nchi gani inakaribisha wahamiaji kwa nguvu zote lakini hata haijai. Tangu walipokua milioni 33 mwaka 2006 wakati sisi tukiwa milioni 30, wenyewe ndiyo kwanza sasa hivi wapo milioni 35, wakati sisi sensa ilisomeka tumefika milioni 61.
Yaani wao pamoja na ku promote watu waende lakini hawajai wakati jirani yake pale watu wana banana
 
Wapo lakini sio lazima. Hulazimishwi kulala na mtu, documents haziandikwi wewe ni shoga. What's the worse that could happen?

Watu wanajilipua kwa njia yeyote ile ilimradi wapate vibali na kuishi kwa uhuru. Makonda alipotangaza vita against gays watu walikula karatasi left and right Canada na US. Leo hii wanadunda tu.

But to each their own.
Aisee kweli kila kitu ni fursa kwa watu
 
Upo sahihi, Australia ni kama Canada tu. Ila namuonea huruma sana huyo anayetaka kwenda kuzamia Canada. Atachomoka mwenyewe kama adu aliyeombewa njaa.
ANatakiwa ajiulize nchi gani inakaribisha wahamiaji kwa nguvu zote lakini hata haijai. Tangu walipokua milioni 33 mwaka 2006 wakati sisi tukiwa milioni 30, wenyewe ndiyo kwanza sasa hivi wapo milioni 35, wakati sisi sensa ilisomeka tumefika milioni 61.
Yaani wao pamoja na ku promote watu waende lakini hawajai wakati jirani yake pale watu wana banana
You are dead right. Wao wanakaribisha wahamiaji weupe toka Ulaya na waarabu kidogo toka Syria ili kuipumbaza dunia. Kwa wasioijua Kanada vizuri wanafuata mambo ya kijiweni. Kwa Wakanada mbwa na paka wana thamani kuliko mtu mweusi.
 
Upo sahihi, Australia ni kama Canada tu. Ila namuonea huruma sana huyo anayetaka kwenda kuzamia Canada. Atachomoka mwenyewe kama adu aliyeombewa njaa.
ANatakiwa ajiulize nchi gani inakaribisha wahamiaji kwa nguvu zote lakini hata haijai. Tangu walipokua milioni 33 mwaka 2006 wakati sisi tukiwa milioni 30, wenyewe ndiyo kwanza sasa hivi wapo milioni 35, wakati sisi sensa ilisomeka tumefika milioni 61.
Yaani wao pamoja na ku promote watu waende lakini hawajai wakati jirani yake pale watu wana banana
Maneno yako ya mwisho yamenichekesha na kunichanganya. Kwahiyo wanafanyaje fanyaje? 🤷🏻‍♀️
 
Back
Top Bottom