Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Upo sahihi, Australia ni kama Canada tu. Ila namuonea huruma sana huyo anayetaka kwenda kuzamia Canada. Atachomoka mwenyewe kama adu aliyeombewa njaa.
ANatakiwa ajiulize nchi gani inakaribisha wahamiaji kwa nguvu zote lakini hata haijai. Tangu walipokua milioni 33 mwaka 2006 wakati sisi tukiwa milioni 30, wenyewe ndiyo kwanza sasa hivi wapo milioni 35, wakati sisi sensa ilisomeka tumefika milioni 61.
Yaani wao pamoja na ku promote watu waende lakini hawajai wakati jirani yake pale watu wana banana
wengi hasa wenyeji wanakimbia hiyo nchi kwasababu ya baridi kali
 
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?

Panga kuonana na nabii Lema Kwa mawaidha. Canada huko huyo mwamba anawashauri hadi Mambuzi sembuse mkuu?
 
Siwezi kuishia airport kwasababu nina strong reason ya kuingia, na nimelipia kila kitu, issue ni kuwa nikisha maliza hiyo event ndiyo nazamia.
Utamharibia Diamond ,wewe itakuwa unafuatana na Mond kwenye show.
 
Bei Elekezi wewe ukifika kabla visa yako haija expire ingia kwenye website ya serikali ya canada na mjimbo yake kuna offer za kazi kwa ajili ya wageni ukipata kazi inakuwa rahisi kupewa work permit.. yani kuna options kibao as long as umeingia canada kwa hiyo huna haja ya kuzamia pambana upate kibali uishi kwa rahaa .
 
Wapo lakini sio lazima. Hulazimishwi kulala na mtu, documents haziandikwi wewe ni shoga. What's the worse that could happen?

Watu wanajilipua kwa njia yeyote ile ilimradi wapate vibali na kuishi kwa uhuru. Makonda alipotangaza vita against gays watu walikula karatasi left and right Canada na US. Leo hii wanadunda tu.

But to each their own.
Yah watu wanatumia fursa,kama ishu ya Museveni ile ni fursa Kuna wahuni wataitumia kuingia ulaya na marekani,maana inajulikana
 
Bei Elekezi wewe ukifika kabla visa yako haija expire ingia kwenye website ya serikali ya canada na mjimbo yake kuna offer za kazi kwa ajili ya wageni ukipata kazi inakuwa rahisi kupewa work permit.. yani kuna options kibao as long as umeingia canada kwa hiyo huna haja ya kuzamia pambana upate kibali uishi kwa rahaa .
Nimepanga kufanya hivyo ila ikitokea miezi 6 inepita bila kupata permit, sirudi tena.
 
Maneno yako ya mwisho yamenichekesha na kunichanganya. Kwahiyo wanafanyaje fanyaje? 🤷🏻‍♀️
Canada uta enjoy ukiwa na watoto, maana jamaa wana kodi ndefu sana, ukiwa na watoto unaweza usihisi maumivu sababu ya universal health care system yao, pia elimu yao.
Huduma zao za elimu na afya ni standard nchi nzima na ni 'bure' (hakuna cha bure ndiyo maana ya ile kodi ndefu).
Unaenda hospital, unahudumiwa 'bure', mziki upo kwenye parking na fine zao, unaweza ukahisi ni gharama ya kufanyiwa operation ya kubadirishwa kichwa😀.
Ukizamia hakuna namna utaweza hata kuita kulipia uber, or chakula, yaani ukizamia ujue upo nje ya system hautapata huduma yoyote ile wala hawabishani na wew. Ndiyo maana walimwengu wanapagwaya, wanabaki wanajazana New York na Seattle.
Wa Seattle anakua anaisikia tu Vancouver kuwa ipo just across the border huku wa Minnesota, Michigan, Ohio, Pennsylvania, na New York wanakua wanaichungulia tu Ontarior lakini kamwe hawatamani kuvuka ili kwenda,
 
Kwa hili nakubaliana nawe kuwa mashoga hawa wapo wengi. Wanajulikana kama mashoga kwa vile walijitambulisha hivyo. Je ni kosa au tusi kuwaita mashoga wakati wao ndiyo walioishiwa ubunifu hadi wakajiita mashoga? Je tutajuaje kama siyo bwabwa kweli? Kwa mtu mbunifu na anayejiheshimu, this is the last thing you can think of let alone do.

Mkuu, sio kazi yangu kujua sexual orientation za watu wala sitaki kujua. Kama mtu kaamua kuomba asylum kwa njia hiyo ili kupata nafuu ya maisha then by all means they should go for it so long as hawamdhuru mtu mwingine in th process. Kuna watu wanaua, wanaiba, kuna mafisadi wanakomba hela za kujenga mahospital huko na bado tunaona hao ni wema kuliko mtu aliyeamua kujiita shoga ili apate nafuu ya maisha yake na familia yake ilhali ndani ya nafsi yake sio shoga. I don't see anything wrong with that.

Wanawake wanaomba asylum kwa kigezo cha female genital mutilation. Roma kaomba kwamba alitekwa. Lema political asylum. Wengine religious asylum etc etc. At the end of the day asylum haiandikwi ulipewa kwa sababu gani exactly, so wote mnakua in the same spectrum.

Kama mtu hana sababu nyingine na kaona aseme yeye ni shoga kama kipindi kile cha Makonda aombe. I have no problem with that. But again to each their own.
 
Sema mashoga Yana fursa nyingi sana😀😀kama wale wakina James delicious ulaya wakiamua kwenda wanapata permit kabisa za kuishi
 
Canada uta enjoy ukiwa na watoto, maana jamaa wana kodi ndefu sana, ukiwa na watoto unaweza usihisi maumivu sababu ya universal health care system yao, pia elimu yao.
Huduma zao za elimu na afya ni standard nchi nzima na ni 'bure' (hakuna cha bure ndiyo maana ya ile kodi ndefu).
Unaenda hospital, unahudumiwa 'bure', mziki upo kwenye parking na fine zao, unaweza ukahisi ni gharama ya kufanyiwa operation ya kubadirishwa kichwa😀.
Ukizamia hakuna namna utaweza hata kuita kulipia uber, or chakula, yaani ukizamia ujue upo nje ya system hautapata huduma yoyote ile wala hawabishani na wew. Ndiyo maana walimwengu wanapagwaya, wanabaki wanajazana New York na Seattle.
Wa Seattle anakua anaisikia tu Vancouver kuwa ipo just across the border huku wa Minnesota, Michigan, Ohio, Pennsylvania, na New York wanakua wanaichungulia tu Ontarior lakini kamwe hawatamani kuvuka ili kwenda,

Hizi story mnazitoa wapi!



 
Roma aliitumia fursa ya kutekwa vizuri sana,mini centrozone itakuwa akuamua tu kuishi nje ila angesepa au kuomba hifadhi nchi yoyote ni angepata
 
Kabla ya kuondoka ,tengeneza mazingira na documents za kuonyesha wewe ni shoga[emoji3][emoji3]wapange ata jamaa zako wajifanye wamekufumania unataka kuliwa mzigo Kisha kareport police wamekuvamia kisa ushoga ,zitunze documents zote Kisha,tafuta organization yoyote inayosupport ushoga jiandikishe na uwe na documents za uanachama,Kisha sepa Canada ukifika tu tafuta LGBTQ organization jiandikishe na wape stori yako ya kukimbia Tanzania kwa sababu ya kutishiwa maisha kwa sababu wewe shoga,Kisha tafuta lawyer akupe msaada WA kuomba hifadhi Canada ya kuishi kwa sababu hauwezi kurudi Tanzania,kwa sababu ya kuhatarisha maisha yako,hii mbinu ukiitumia unapata permit ya kuishi na kufanya kazi,hii mbinu watu WA Uganda wengi wataitumia
[emoji23][emoji23][emoji23]kwamba mwamba alaliwa chocho
 
Nimepanga kufanya hivyo ila ikitokea miezi 6 inepita bila kupata permit, sirudi tena.
utapata cha muhimu ujue kucheza na muda pia usichague kazi ata dish washer ni kazi 🤣, alafu kazi za saidia fundi wanalipa vizuri kweli,ukiweza usome short coz kama red cross, certified nurse zinakuwa ni wiki nne au sita ili upate kazi za kutunza wazee
 
Roma aliitumia fursa ya kutekwa vizuri sana,mini centrozone itakuwa akuamua tu kuishi nje ila angesepa au kuomba hifadhi nchi yoyote ni angepata
Roma anasubiri miaka yake minne ifike aanze mchakato wa kuivuta familia yake (Re-Unification Program)
 
Back
Top Bottom