Ukienda vitongoji kama Brampton, Mississauga mpaka windisor ni kama upo BombayNakubaliana nawe. Wamechoshwa na hawa watu ukiachia mbali wengine wakiingia wanakuja na ugaidi wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukienda vitongoji kama Brampton, Mississauga mpaka windisor ni kama upo BombayNakubaliana nawe. Wamechoshwa na hawa watu ukiachia mbali wengine wakiingia wanakuja na ugaidi wao
Hata kupata kazi nzuri ngumu especially GTA maafisa uajiri wengi ni wadosi,wakiona jina masanja wanatupa kwenye dustbin application yakoNakubaliana nawe. Wamechoshwa na hawa watu ukiachia mbali wengine wakiingia wanakuja na ugaidi wao
Usiniambia haya mambwa kokoHata kupata kazi nzuri ngumu especially GTA maafisa uajiri wengi ni wadosi,wakiona jina masanja wanatupa kwenye dustbin application yako
Wangese ssna wanaona nchi kama yao,wanawadharau mpaka wazunguUsiniambia haya mambwa koko
Kazi nzuri Canada ni ipi??? Canadians are very loyal(100%) to their government, hapa hata uje na Ph.D. watakwambia you are over qualified ( kama una elimu ya UK) at least wanaweza kukusikilizaHata kupata kazi nzuri ngumu especially GTA maafisa uajiri wengi ni wadosi,wakiona jina masanja wanatupa kwenye dustbin application yako
Kwa waafrika umemaanisha nini?Hii dunia ni ya mapacha watatu, hao ndiyo wanalindwa sana duniani, Wanawake, Mashoga na Waafrika, hawa mapacha watatu kwa kweli ukiwagusa utazisikia kelele kutoka kila kona ya dunia
Angalia tabia zao, wanafanana kila kituKwa waafrika umemaanisha nini?
Mkuu nimeuliza hapo kwa sababu umesema wanalindwa ..so sijaelewa hapoAngalia tabia zao, wanafanana kila kitu
Acha kumkatisha tamaa baharia mwache ajilipue maisha popote,binafsi kabla sijafikiria kubinjuka nilitishwa sana sijui unapata faida gani kumtisha!!Acha wamle si ndiyo akili yake. Basha hawawataki huku. Wao wanatangaza usenge.
Mwanakwetu we umebinjukia wapiAcha kumkatisha tamaa baharia mwache ajilipue maisha popote,binafsi kabla sijafikiria kubinjuka nilitishwa sana sijui unapata faida gani kumtisha!!
Hahaha..Hujui
Wewe huijui Kanada. Watakurudisha vinginevyo useme wewe ni msenge au msagaji. System yao hsipenyeki
asylum unakuwa maanisha niniMkuu, sio kazi yangu kujua sexual orientation za watu wala sitaki kujua. Kama mtu kaamua kuomba asylum kwa njia hiyo ili kupata nafuu ya maisha then by all means they should go for it so long as hawamdhuru mtu mwingine in th process. Kuna watu wanaua, wanaiba, kuna mafisadi wanakomba hela za kujenga mahospital huko na bado tunaona hao ni wema kuliko mtu aliyeamua kujiita shoga ili apate nafuu ya maisha yake na familia yake ilhali ndani ya nafsi yake sio shoga. I don't see anything wrong with that.
Wanawake wanaomba asylum kwa kigezo cha female genital mutilation. Roma kaomba kwamba alitekwa. Lema political asylum. Wengine religious asylum etc etc. At the end of the day asylum haiandikwi ulipewa kwa sababu gani exactly, so wote mnakua in the same spectrum.
Kama mtu hana sababu nyingine na kaona aseme yeye ni shoga kama kipindi kile cha Makonda aombe. I have no problem with that. But again to each their own.
vipi mkuu ulishapata visa?Thanks mkuu nitajitahidi kabla ya uchaguzi 2025 niwe nimesepa,
Kabla hujaenda jiulize swali hiliHATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?