Nimepeleka mahari unyamwezini

Nimepeleka mahari unyamwezini

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka Iringa mpaka Tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana.

Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato ulivyofanyika fasta bila complication nyingi. Kwanza mfumo wa upokeaji mahari wa hawa jamaa ulinishangaza. Watu hawakuwa wengi ni ndugu wachache na majiran kadhaa tu.

Nilipangiwa mahari milioni 2.5 lakini wale watu ni waelewa mno tulipo bagain wakatuelewa na kufika 1.5m. ulipofika muda wa kutoa pesa tukatakiwa kuiweka kwenye hii sahani yenye majani mawili😀. nimesahau wanaitaje. Hakika moyo wangu unafuraha sana.

Pongezi kwenu wanyamwezi. Nishakuwa ndugu yenu

Screenshot_20211225-165745.jpg
 
Kuna kabila waleta posa hukaribishwa na nyanya chungu. Wanaamini zina baraka ya uzazi yaani mwanaume utatoa mbegu kama zilivyo kwenye nyanya chungu na mwanamke utazaa watoto kama mmea wa nyanya chungu.
Kabila gani hilo mdau?[emoji16]
 
Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka iringa mpaka tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana. Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato ulivyofanyika fasta bila complication nyingi. Kwanza mfumo wa upokeaji mahari wa hawa jamaa ulinishangaza. Watu hawakuwa wengi ni ndugu wachache na majiran kadhaa tu. Nilipangiwa mahari milioni 2.5 lakini wale watu ni waelewa mno tulipo bagain wakatuelewa na kufika 1.5m. ulipofika muda wa kutoa pesa tukatakiwa kuiweka kwenye hii sahani yenye majani mawili😀. nimesahau wanaitaje. Hakika moyo wangu unafuraha sana. Pongezi kwenu wanyamwezi. Nishakuwa ndugu yenu

View attachment 2057167
Yaani mahali umepunguziwa sikuhiyohiyo ukalipa au ni chai unadanganya?
 
Back
Top Bottom