Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah basi nyie bahati. Sie kwetu upo na ndio maana ata pia naogopa kuleta mtoto duniani isije ikala kwangu....maana hospital ndio kila leo.Kuna familia moja ya kinyamwezi ndo niliona watoto walikuwa na siko seli. Mmoja wa watoto alifariki tukiwa form 3.
Ukoo wetu hakuna mwenye nayo, sijui wengine.
Ah basi nyie bahati. Sie kwetu upo na ndio maana ata pia naogopa kuleta mtoto duniani isije ikala kwangu....maana hospital ndio kila leo.
🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuwepo kwenye kikao mkuu
Boss Hongera,,,, ila nikushauri tu ndoa sio lazima...
So jitahidi kutunza ndoa kadri ya uwezo wako....
Likitokea lolote utajua la kufanya...
Ah wapi ...i am not taking that risk.Aiseeeh, poleni.
Sasa si ujaribu kuchanganya damu na kabila lingine mtoto asipate siko seli? Maana licha ya kirithi kama genes za mama zikichanganyika zinaweza kupunguza ukali wa kupata sikoseli...
Zilikuwa 3m na makorokoro , aliyeenda akanambia kuwa lakin tukiongeq nao wanapunguza nikamwambia mzee ww rudi ,mambo ya kubageiiiiniiii imekuwaaaa nguoooo😀😀😀😀😀😀[emoji23] walijupangia Tsh ngap?
Kata ya ndala mkuu. Haipo nzega mjini[emoji16]Mtaa gani pale Nzega?Kashishi,Nyasa,Kitongo,uzunguni,majengo,ushirika.. Kama mkeo katokea hiyo mitaa jua nishamtafuta kipindi nilipokaa pale mjini mwaka 2018-20.
Rai:Wanawake wa kinyamwezi wanajijua wenyewe hivyo kaa naye 'mguu ndani nje'.
Jiandae kulishwa limbwataZimeanza mkuu. Nakutana na pisi kali zaid wakat mwanzon ckuwa nakutana nazo[emoji23]