Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah nimesoma vibaya nikajua mpalange 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] nijiandae pia kula mapalage
Tumlaani sheitwani!!Daah nimesoma vibaya nikajua mpalange 🤣🤣🤣🤣
Wanyamwezi napenda wanavyounga mboga zao kwa karanga. Kuna ile mboga inaitwa nsansa au msusa nadhani. Utajing'ta vidole aisee🤪Tabora Hoooyeeeeee....
Wanyamwezi hoooyeeeee.....
Jiandae kulishwa mapishi ya asali....
Mzeya umecheki lakini sikoseli kwenye ukoo?Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka iringa mpaka tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana. Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato ulivyofanyika fasta bila complication nyingi. Kwanza mfumo wa upokeaji mahari wa hawa jamaa ulinishangaza. Watu hawakuwa wengi ni ndugu wachache na majiran kadhaa tu. Nilipangiwa mahari milioni 2.5 lakini wale watu ni waelewa mno tulipo bagain wakatuelewa na kufika 1.5m. ulipofika muda wa kutoa pesa tukatakiwa kuiweka kwenye hii sahani yenye majani mawili😀. nimesahau wanaitaje. Hakika moyo wangu unafuraha sana. Pongezi kwenu wanyamwezi. Nishakuwa ndugu yenu
View attachment 2057167
Hii upige na ugali na kushushia na tanga fresh hadi rahaWanyamwezi napenda wanavyounga mboga zao kwa karanga. Kuna ile mboga inaitwa nsansa au msusa nadhani. Utajing'ta vidole aisee🤪
[emoji23][emoji23][emoji23] nijiandae pia kula mapalage
Wanyamwezi napenda wanavyounga mboga zao kwa karanga. Kuna ile mboga inaitwa nsansa au msusa nadhani. Utajing'ta vidole aisee🤪
Mzeya umecheki lakini sikoseli kwenye ukoo?
Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka iringa mpaka tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana. Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato ulivyofanyika fasta bila complication nyingi. Kwanza mfumo wa upokeaji mahari wa hawa jamaa ulinishangaza. Watu hawakuwa wengi ni ndugu wachache na majiran kadhaa tu. Nilipangiwa mahari milioni 2.5 lakini wale watu ni waelewa mno tulipo bagain wakatuelewa na kufika 1.5m. ulipofika muda wa kutoa pesa tukatakiwa kuiweka kwenye hii sahani yenye majani mawili😀. nimesahau wanaitaje. Hakika moyo wangu unafuraha sana. Pongezi kwenu wanyamwezi. Nishakuwa ndugu yenu
View attachment 2057167