Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Ah wapi ...i am not taking that risk.
Jamaniiii, sawa lakini kama umeridhia.
Ila nimeskia huzuni kwa ajili yako.
Merry Christmas and Happy New Year 2022.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah wapi ...i am not taking that risk.
Nimeona cousins wangu wanavyo suffer hiyo kitu achana nayo. I wouldnt wana have my child experience that. Alafu unajua mbaya sasa unatotoa mmoja yupo vizuri mwengine ngona positive kweli kweli.Jamaniiii, sawa lakini kama umeridhia.
Ila nimeskia huzuni kwa ajili yako.
Merry Christmas and Happy New Year 2022.
Nimeona cousins wangu wanavyo suffer hiyo kitu achana nayo. I wouldnt wana have my child experience that. Alafu unajua mbaya sasa unatotoa mmoja yupo vizuri mwengine ngona positive kweli kweli.
Sasa hapo kama mzazi inabidi uelekeze nguvu zote kwa huyo ..maupendeleo kama yote. Inaleta stress sana ndani ya nyumba. Kama kuishi bila mtoto nitaishi tuu. Sio knowingly najua kabisa hii kitu ipo kwenye ukoo alafu bado naleta ukinganganizi wakuzaa. Huo ni ubinafsi.
Boss Hongera,,,, ila nikushauri tu ndoa sio lazima...
So jitahidi kutunza ndoa kadri ya uwezo wako....
Likitokea lolote utajua la kufanya...
[emoji16]sawaKata ya ndala mkuu. Haipo nzega mjini[emoji16]
Yaani mahali umepunguziwa sikuhiyohiyo ukalipa au ni chai unadanganya?
Kwa wazaz wanaojitambua hawawez kukubari umalize mahari yote mkuu. Inayobaki huwa inamalizwa indirect mfano unapowatumia pesa ya matumizi au kuwanunulia zawadiComment ya mtu anayeona 3mil ni pesa mingi...
Mahari huwa zinajulika ile round figure, na kitu kizuri kwenye mahari ni kuto bargain...unalipa yote...
Kwa wazaz wanaojitambua hawawez kukubari umalize mahari yote mkuu. Inayobaki huwa inamalizwa indirect mfano unapowatumia pesa ya matumizi au kuwanunulia zawadi