Nimepeleka mahari unyamwezini

Kwa hiyo ni taarifa tu umetoa au unatafuta ushauri?

Hawaelewekagi hao kama Wapare!

Halafu wana mambo ya shirki.
 
Hiyo 1.5m alikuwa bikra? Au ni single maza ..
Karibu, hatutegemei kuona uzi wako wa kulalamika humu maana ABC unazo
 
Boss Hongera,,,, ila nikushauri tu ndoa sio lazima...

So jitahidi kutunza ndoa kadri ya uwezo wako....

Likitokea lolote utajua la kufanya...
 
Mzeya umecheki lakini sikoseli kwenye ukoo?
 

The soldier is down! Ushalogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…