Nimependa jinsi kocha wa Yanga anavyoyachukulia mashindano ya Mapinduzi

Nimependa jinsi kocha wa Yanga anavyoyachukulia mashindano ya Mapinduzi

Wakikutana Yanga na simba haitakiwi kuidharau gemu, inabidi gemu iwe full mkoko


Vinginevyo kelele za Makolo zitakuwa kuanzia januari hadi disemba

Utapoongea kidogo tu watu watakutumia poster ya yanga 1 - 9 simba


In short matokeo yoyote yanaingia kwenye history kama inavyokumbushwa history ya 1970+ huko 8-0

Mwambie jamaa kiazi. Kwanza hakuna Yanga B hao ni players wanalipwa na wamesajiliwa

Then timu imekamilika kuna kina mkude Farid kibwana okrah na wengineo

Mnataka Yanga A ip Zaid ya hiyo
 
Mwambie jamaa kiazi. Kwanza hakuna Yanga B hao ni players wanalipwa na wamesajiliwa

Then timu imekamilika kuna kina mkude Farid kibwana okrah na wengineo

Mnataka Yanga A ip Zaid ya hiyo
I think kila timu imeenda na malengo yake kuna walio enda kushiriki na walio enda kushindana na wengine vyote kwa pamoja so kila timu i stick kwenye plan yake
 
Wakikutana Yanga na simba haitakiwi kuidharau gemu, inabidi gemu iwe full mkoko


Vinginevyo kelele za Makolo zitakuwa kuanzia januari hadi disemba

Utapoongea kidogo tu watu watakutumia poster ya yanga 1 - 9 simba


In short matokeo yoyote yanaingia kwenye history kama inavyokumbushwa history ya 1970+ huko 8-0
Hiyo 1970, 8-0 ilikuwa ni mechi gani mbona mnaandika habari za uongo sana humu.😛😛
 
Kama tumeamua kuingia kwenye mashindano tupiganie kombe hakuna kusema sijui bonanza au blah blah nyingine kocha atapongezwa au kulaumiwa kwa matokeo atakayopata
We ukutane na Simba au azam atule 7+ utasema ni mapinduzi.
Ukifungwa 7+ kwenye Mapinduzi unapata hasara ipi? Huu ni muda wa wachezaji wengine kupumzika. Hawana umuhimu wa kupoteza nguvu zao kwa mashindano ya kipuuzi.
 
Mwambie jamaa kiazi. Kwanza hakuna Yanga B hao ni players wanalipwa na wamesajiliwa

Then timu imekamilika kuna kina mkude Farid kibwana okrah na wengineo

Mnataka Yanga A ip Zaid ya hiyo
Ma matusi tena, timu imekamilika halafu umeishia kutaja wachezaji wanne tu, tena ambao walioingia kipindi cha pili. Nani kiazi hapo?
 
Nahisi umemlisha maneno, wachezaji wanapata fitness, unatest usajili wako, inaangalia vipaji, inajenga comfidence kwa wachezaji
 
Ukifungwa 7+ kwenye Mapinduzi unapata hasara ipi? Huu ni muda wa wachezaji wengine kupumzika. Hawana umuhimu wa kupoteza nguvu zao kwa mashindano ya kipuuzi.
Simba na yanga wakikutana hawaangalii aina ya mashindano ata likiwa kombe la kuku lazima kikosi cha kwanza kiwe full mkoko,nani anataka aibu ya kufungwa goli 8!! Unajua hadha ya kufungwa goli nyingi na mtani?
 
Kufeli kufanyaje? Hivi kombe la Mapinduzi nalo la kumpa presha kocha ili alichukue? Huu ni ujinga
Ukubwa wa kombe unapimwa na nini? Kwanini Yanga inashiriki kombe la mapinduzi? Shirikisho ni kombe kubwa au la looser?
 
Kwanzia mashindano ya Mapinduzi yaanze, Gamondi wala haumizi kichwa juu ya mashindano hayo, squad yake imesheeni watoto wa Yanga B na wachezaji wasiopata namba kwenye kikosi cha Yanga. Mapinduzi cup ni bonanza lisilo na maana wala faida yoyote ile zaidi ya kisiasa, hata ikitokea Yanga wamekutana na timu ngumu au yenye ubora kama Simba, Azam au Singida, ni vyema kocha aachwe abakie na mtazamo wake huo huo pasipo kupewa presha yoyote na mashabiki, au viongozi ili kushinikiza wapangwe wachezaji wa first eleven. Hata Yanga ikifungwa, ifungwe ila squad ibakie vile vile tu.
MIL 100 pambavuzaoo
 
Kwanzia mashindano ya Mapinduzi yaanze, Gamondi wala haumizi kichwa juu ya mashindano hayo, squad yake imesheeni watoto wa Yanga B na wachezaji wasiopata namba kwenye kikosi cha Yanga. Mapinduzi cup ni bonanza lisilo na maana wala faida yoyote ile zaidi ya kisiasa, hata ikitokea Yanga wamekutana na timu ngumu au yenye ubora kama Simba, Azam au Singida, ni vyema kocha aachwe abakie na mtazamo wake huo huo pasipo kupewa presha yoyote na mashabiki, au viongozi ili kushinikiza wapangwe wachezaji wa first eleven. Hata Yanga ikifungwa, ifungwe ila squad ibakie vile vile tu.
Utopolo wako bize kutafuta visingizio baada ya Ile wanayodai ni 5G kuota mbawa!! Ukisikia moto wa mabua ndo huo.
 
Kwanzia mashindano ya Mapinduzi yaanze, Gamondi wala haumizi kichwa juu ya mashindano hayo, squad yake imesheeni watoto wa Yanga B na wachezaji wasiopata namba kwenye kikosi cha Yanga. Mapinduzi cup ni bonanza lisilo na maana wala faida yoyote ile zaidi ya kisiasa, hata ikitokea Yanga wamekutana na timu ngumu au yenye ubora kama Simba, Azam au Singida, ni vyema kocha aachwe abakie na mtazamo wake huo huo pasipo kupewa presha yoyote na mashabiki, au viongozi ili kushinikiza wapangwe wachezaji wa first eleven. Hata Yanga ikifungwa, ifungwe ila squad ibakie vile vile tu.
Kwa Nini hii hoja hukuitoa baada ya mechi ya kwanza ya yanga? Jibu ni rahisi! mechi y kwanza uto walipiga 5G! Kwa Nini hii hoja imekuja baada ya mechi ya tatu? Jibu ni rahisi pia! mechi ya tatu uto walinuna baada ya kupata sare kwa mbinde kwa timu pinzani kunyimwa penati ya wazi!! Lakini is wanaandaa utetezi mapema baada yakumwona mnyama anawavitia Kasi kutaka kuwararua!!
 
Mwambie jamaa kiazi. Kwanza hakuna Yanga B hao ni players wanalipwa na wamesajiliwa

Then timu imekamilika kuna kina mkude Farid kibwana okrah na wengineo

Mnataka Yanga A ip Zaid ya hiyo
Uto wanaweweseka baada ya kuonna kishindo Cha mnyama!!
 
Kwa Nini hii hoja hukuitoa baada ya mechi ya kwanza ya yanga? Jibu ni rahisi! mechi y kwanza uto walipiga 5G! Kwa Nini hii hoja imekuja baada ya mechi ya tatu? Jibu ni rahisi pia! mechi ya tatu uto walinuna baada ya kupata sare kwa mbinde kwa timu pinzani kunyimwa penati ya wazi!! Lakini is wanaandaa utetezi mapema baada yakumwona mnyama anawavitia Kasi kutaka kuwararua!!
Huu uzi nimeandika kabla hata kipindi cha kwanza cha mechi dhidi ya KVZ haijaisha. Na nimeweka wazi kabisa kuwa haijalishi Yanga afungwe au asifungwe ila kocha abakie na hiyo squad yake ya watoto na wasiopata namba ndani ya kikosi cha Yanga.
 
Kila kocha anakuwa na mipango na malengo yake, chukueni kombe la Mapinduzi ila huku kwenye ligi kuu, Gamondi hacheki na mtu.
Uto wanaweweseka baada ya kuonna kishindo Cha mnyama!!
 
Utopolo wako bize kutafuta visingizio baada ya Ile wanayodai ni 5G kuota mbawa!! Ukisikia moto wa mabua ndo huo.
Yaani utakuwa mjinga wa kiwango cha mwisho kusherekea kombe la Mapinduzi lisilotambulika hata shirikisho la FIFA. Au ndio mmeona ndiyo faraja iliyobakia kwenu? Eti moto wa mabua, huku kwenye ligi timu inashika nafasi ya pili na mechi mbili mkononi na migoli ya kutosha. Haya bebeni kombe la Mapinduzi, si mliwahi kubeba huku Yanga ikibeba kombe la FA na ligi kuu.
 
Kombe la mbuzi hilo hakuna sababu ya kuchosha wachezaji...
 
Ukubwa wa kombe unapimwa na nini? Kwanini Yanga inashiriki kombe la mapinduzi? Shirikisho ni kombe kubwa au la looser?
Shirikisho ni kombe kubwa, linatambulika na FIFA na CAF. Mapinduzi ni bonanza au hulijui hilo? Ni mashindano ya kisiasa hayo kuenzi uhuru wa Zanzibar.
Makombe makubwa ni makombe yanayotambulika na FIFA ( kwa ngazi ya ndani ni ligi kuu na FA)
 
Simba na yanga wakikutana hawaangalii aina ya mashindano ata likiwa kombe la kuku lazima kikosi cha kwanza kiwe full mkoko,nani anataka aibu ya kufungwa goli 8!! Unajua hadha ya kufungwa goli nyingi na mtani?
Ni upumbavu huo ushabiki wa kutojua thamani ya mashindano, aina ya timu. Kocha awapange hao hao watoto tu.
 
Back
Top Bottom