Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Umedhihaki kazi yake .hebu siku ukipata nafasi uwe unawauliza kazi zao zinasaidiane familia zao...sio kila anayeuza bar ni malayaKwani nimejitapa mimi ni tajiri mbona hata kwenye andiko kabisa kuna sehemu nimeandika sipo poa kiuchumi. Kuna post zangu nyingi tu kule kwenye jukwaa la ajira na tenda nikiomba wenye c...heshonnection wanisaidie kupata kazi sijawahi kuficha hali yangu kiuchumi popote pale na wapi nimedhiaki kazi ya mtu?
Kati ya wengi aliowakatalia pia kuna wengi aliowakubalia ana itikadi za kimalaya sema yupo selective kidogo ukiwa na dau zuri alfu una muonekano wa kuvutia unapiga.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mshana bhana... Eti Kiberenge,malaya ni nomino
Na maana yake ni hii
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Visawe
kahaba
changudoa
kiberenge
Je huyo alitangaza kuuza mwili wake?
Ukimwi Ukimwi UkimwiHuyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Si unajua kazi yake relini? Hakiachi mtu, hakiachi kitu kinabeba vyote[emoji23][emoji23][emoji23]Mshana bhana... Eti Kiberenge,
Shangaa piaKufanya kazi bar ndio malaya.?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushauri wa hovyo haijawahi tokeaKuna point nimenote hapa kuwa huyo dada ni malaya, anavutia,alafu pia kala pesa za njemba kibao bila kuwapa uchi
Kwa ushauri wangu mkuu usimuache ,mkaze kisawasawa na nipo namzoom huyo mdada naona ni bikira kabisa
Malaya ni mtu wa aina gani? Itoshe kusema kwamba umependwa na mhudumu wa Bar. Kula hela si kigezo cha mtu kuitwa hivyo.Huyu dada ni mhumudu wa bar moja hivi maarufu maeneo ya kijichi anaonesha dalili zote za kunitaka, kiukweli anavutia sana njemba kibao zishaliwa sana pesa zao bila kupewa uchi.
Nishamsisitiza sana mimi sipo vizuri kiuchumi ila anadai haitaji pesa yangu yeye anataka penzi langu tu.
Wakuu, nimkaze au nimpotezee?
Hakuna popote niliposema mhudumu wa bar ni malaya., nimetumia jina ilo kwa sababu najua mienendo yake.. hivi nikisema kuna dada ni malaya anafanya kazi benki maana ake wadada wote wanaofanya lazi benki ni malaya?Umedhihaki kazi yake .hebu siku ukipata nafasi uwe unawauliza kazi zao zinasaidiane familia zao...sio kila anayeuza bar ni malaya
Akijibu nitarudiSasa kwanini umemuita malaya?
Na izo ndo tabia zake..malaya ni nomino
Na maana yake ni hii
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Visawe
kahaba
changudoa
kiberenge
Je huyo alitangaza kuuza mwili wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kwanini umemuita malaya?
😂😂😂😂Umechukia?Jifunze kuwa mtu mzima.Punda baba ako choko na ukoo wenu mzima
Unatukana matusi ya ajabu hivi ajabu unasema unatafta bado ajira ..usitukane mamba🙌Punda baba ako choko na ukoo wenu mzima