Nimependwa na malaya

Umedhihaki kazi yake .hebu siku ukipata nafasi uwe unawauliza kazi zao zinasaidiane familia zao...sio kila anayeuza bar ni malaya
 
Kati ya wengi aliowakatalia pia kuna wengi aliowakubalia ana itikadi za kimalaya sema yupo selective kidogo ukiwa na dau zuri alfu una muonekano wa kuvutia unapiga.

malaya ni nomino
Na maana yake ni hii
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Visawe
kahaba
changudoa
kiberenge

Je huyo alitangaza kuuza mwili wake?
 
malaya ni nomino
Na maana yake ni hii
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Visawe
kahaba
changudoa
kiberenge

Je huyo alitangaza kuuza mwili wake?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mshana bhana... Eti Kiberenge,
 
Ukimwi Ukimwi Ukimwi
 
Kuna point nimenote hapa kuwa huyo dada ni malaya, anavutia,alafu pia kala pesa za njemba kibao bila kuwapa uchi
Kwa ushauri wangu mkuu usimuache ,mkaze kisawasawa na nipo namzoom huyo mdada naona ni bikira kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ushauri wa hovyo haijawahi tokea
 
Malaya ni mtu wa aina gani? Itoshe kusema kwamba umependwa na mhudumu wa Bar. Kula hela si kigezo cha mtu kuitwa hivyo.
 
Hamna malaya anaekula hela bila kuliwa usijifariji. We ona umependwa kumbe umo kwenye mpango wake wa REA.
 
Umedhihaki kazi yake .hebu siku ukipata nafasi uwe unawauliza kazi zao zinasaidiane familia zao...sio kila anayeuza bar ni malaya
Hakuna popote niliposema mhudumu wa bar ni malaya., nimetumia jina ilo kwa sababu najua mienendo yake.. hivi nikisema kuna dada ni malaya anafanya kazi benki maana ake wadada wote wanaofanya lazi benki ni malaya?
 
malaya ni nomino
Na maana yake ni hii
mwanamke anayeuza mwili wake kwa wanaume kimapenzi
Visawe
kahaba
changudoa
kiberenge

Je huyo alitangaza kuuza mwili wake?
Na izo ndo tabia zake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…