Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #41
Samahanini wadau kwa kutumia ilo jina la malaya tatizo title haiwezekani kufanya editDada wa watu kukupenda imekua kosa unamuita mraks.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahanini wadau kwa kutumia ilo jina la malaya tatizo title haiwezekani kufanya editDada wa watu kukupenda imekua kosa unamuita mraks.
Mimi sio mgeni kwenye suala la kusoma akili za wadada wa aina hii, nimekulia sinza tena sinza ile ya hawamu ya mkapa na kikwete kipindi hicho biashara ya ukahaba sinza ilikua ndo makao makuu.. kona bar, meeda, la chaz ndo mitaa iliyonikuza.. ukweli ni kwamba hata malaya ambao ni expensive kabisa wapo wanaoangukia kwa mtu ambao hana helaAnachofanya ni ku customize service kuendana na ujinga wako kuwaza kwamba unaweza pendwa na Malaya na usimpe chochote, ladies and gentlemen, hizi ndo akili za Taifa la kesho.
Sawa sawa mkuuMkaze ila ue u atoa to vi chenji kidogo
Kumbuka sox
Mkasa wako ukiufungulia uzi naomba unitag mkuu au hata ukiudondosha hapa sio mbayaKipindi nipo chalii kabisa nlkua najua kila naekutana nae bar ni malier Maisha yamenifunza mamaae
Wapo washkaji zangu washajaribu kurusha ndoano wakaishia kuliwa pesa zao tu bila kupewa huduma.. sio wote wanapotezea wanaopewa mbususu wapo ila demu yupo selective sana sio zoa zoa yaani kajiwekea daraja fulani hiviUtajuaje kashapotezea watu wote ikiwa haisomi mita
Bikra yake ilitokajeWapo washkaji zangu washajaribu kurusha ndoano wakaishia kuliwa pesa zao tu bila kupewa huduma
Hahaha..kwa hii pisi sijawahi kutoa hata cent mkuuKwa namna moja we utakua unahudumumia vocha na usafiri/boda, hongera mkuu kuchaguliwa wizara ya uchukuzi na mawasiliano, punde utakutana wenzako wa wizara ya nishati(Luku) wizara ya makazi, wizara ya kilimo,mifugo na uvuvi(chips,nyama choma/msosi)
Natafuta mkuu.. tupeane michongo kaka mtaani hali sio shwariNilivyoangalia avatar yako tu nikaishia hapo hapo.....
Endelea kutafuta ajira ndugu
ThubutuuuuHuyo ni bikira sio malaya
Kuna sehemu nimesema ni bikira?Bikra yake ilitokaje
Aiseeee.!Jiandae tu hapo na kumeza vidonge vya UTI na gono
Naona wakina dada mmechaluka kweli kweli.. kumbe hisia zenu zikiwekwa wazi huwa mnakua wakali.. mbona ushauri wa kumkaza demu au kumpotezea wanaume huwa tunapeana sana tuKumbe unaulizia kumkaza? Mi nilijua kasema umwoe😳 aisee...hujakaa kiuanaume kabisa
Wewe ukiitwa Malaya Kisa kazi Yako utajisikiaje??Dharau gani sasa
Mienendo yake naijua ni mwanamke ambae hajatulia nimekosea kutumia lugha kali kidogo na nimeomba samahani kwa kutumia ilo jinaWewe ukiitwa Malaya Kisa kazi Yako utajisikiaje??
Yeye anataka kupumzika kwenye ya alipendalo wewe unamkashifu what the hell jomba
Wapi nimesema hayo kakaKwahiyo unajiona handsome sana au siyo