Nimependwa na mke wa mtu lakini watu wananionea wivu

..Kumbe ni Simulizi TU!
 
Uzuri ameshasema ni hadithi ya kutunga. Amefikisha ujumbe kwa wale wote wanaopatwa upofu wa mapenzi kwa kupenda wake za watu wanafurahia pasipo kuona hatari iliyo mbele yao. Hongera kwa utunzi wako.
 
Kuna dogo kazini kwetu kakutwa na msala wa kungonoka na mke wa mtu, aisee kesi imekuwa kubwa mpaka tumeshindwa kuelewa Kama shida ni hiyo tu ya kula huyo mdada au Kuna mengine. Kwanza kapigwa ndani bila dhamana kwa muda wa siku kadhaa, katoa faini Kama 10M, kahamishwa kituo Cha kazi kwa gharama zake mwenyewe na mengine mengi.
 
Sawa mkuu, Muhimu kujifunza vyema misingi ya uandishi ili kuvutia watu kupata shauku ya kusoma na kujua litakalofuata mbele katika simulizi zako.
 
Unaongea ongea tu kama umelishwa dawa za kulevyfun

..Kumbe ni Simulizi TU!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kumbe ulijua ni kweli !!! Simulizi tu ndugu yangu
 
Unaongea ongea tu kama umelishwa dawa za kulevyfun

..Kumbe ni Simulizi TU!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kumbe ulijua ni kweli !!! Simulizi tu ndugu yangu
Sawa mkuu, Muhimu kujifunza vyema misingi ya uandishi ili kuvutia watu kupata shauku ya kusoma na kujua litakalofuata mbele katika simulizi zako.
Nashukuru kwa ushauri wako ndugu yangu
 
Hizo story zako ndio unaandika hivi?
Janja la Kinyaturu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]



NB "si kanipenda mwenyewe...............
Hahahah,, simulizi zipo nyingi tu kwenye group zipo nyingine katika vipande vipande sehemu ya kwanza na kuendelea
 
Duh!! Kweli kakutwa na kitu kizito kichwani, mpe pole yake kamanda
 
Uzuri ameshasema ni hadithi ya kutunga. Amefikisha ujumbe kwa wale wote wanaopatwa upofu wa mapenzi kwa kupenda wake za watu wanafurahia pasipo kuona hatari iliyo mbele yao. Hongera kwa utunzi wako.
Hii ni story tu laini katika jamii zetu wapo watu wenye tabia kama hii. Wanadhani kuwa wanaweza kutembea na wake za watu na wasifanywe chochote. Hatakama mtu alikuwa mpenzi wako kabla hajaolewa akishaolewa tu achana nae tafuta mwingine. MKE WA MTU SUMU TUACHE KUISHI KIMAZOEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…