Mr George Francis
JF-Expert Member
- Jun 27, 2022
- 234
- 376
- Thread starter
- #41
Simulizi tu ndugu..Kumbe ni Simulizi TU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simulizi tu ndugu..Kumbe ni Simulizi TU!
Ukweli mtupu.Ila watu nao ni wabishi sana mpaka liwapate la kuwapata ndio wanatia akili.Hii ni story tu laini katika jamii zetu wapo watu wenye tabia kama hii. Wanadhani kuwa wanaweza kutembea na wake za watu na wasifanywe chochote. Hatakama mtu alikuwa mpenzi wako kabla hajaolewa akishaolewa tu achana nae tafuta mwingine. MKE WA MTU SUMU TUACHE KUISHI KIMAZOEA
Well saidUkweli mtupu.Ila watu nao ni wabishi sana mpaka liwapate la kuwapata ndio wanatia akili.
Kwani wanyaturu wapoje mbona umewashusha viwango ndugu?Kumbe ni mnyaturu hata sishangai
Hawezi kunifanya chochote kwanza huku yeye ni mgeniAchana na hayo mambo, fanya mambo mengine... Ipo siku mume wake atakupenda pia...
😀😀😀Fanya uoe..hicho kiraru cha kuwapanda wake za watu kitakucost
Safi sana, sasa wewe ndio mwana huna wivu na mapenzi ya watuHakuna ubaya wowote ule wa wewe kupendana nae,nyie endeleeni hivyo hivyo tu