Nimepewa lift nikiwa na mtoto wangu, roho imeniuma sana

Nimepewa lift nikiwa na mtoto wangu, roho imeniuma sana

danhoport

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
1,984
Reaction score
4,502
Wazima humu?

Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.

Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"? Ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.

Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.

Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri.
 
Wazima humu?

Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.

Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"?, ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.

Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.

Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri
Mimi na wewe ndio hatuna gari humu JF.
 
Wazima humu?

Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.

Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"?, ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.

Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.

Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri
Nakuombea na wewe siku moja utapata usafiri wako
 
Wazima humu?

Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.

Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"?, ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.

Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.

Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri
Mimi nikajua roho imekuuma kwa kuogopa jamaa mwenye Raum angekuteka wewe na huyo madogo, kumbe wivu wa jamaa kumiliki ki-Raum ulikutesa.
Raum ni sh. 8-9m tu
 
Mimi nikajua roho imekuuma kwa kuogopa jamaa mwenye Raum angekuteka wewe na huyo madogo, kumbe wivu wa jamaa kumiliki ki-Raum ulikutesa.
Raum ni sh. 8-9m tu
😂😂
waaaachaaa, milioni 8 mpaka 9 'tu' eeh'..??
Safi sana..!!

Hivi unajua kuna watu mpaka wanaingia kaburini hawajawahi hata iona hiyo Pesa kwa macho mzee, nini kuimiliki..!!
 
Back
Top Bottom