Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tunawapa hadi december muwe mmenunua, tofauti na hapo mtatuona wabaya jamani.....😹Mimi na wewe ndio hatuna gari humu JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawapa hadi december muwe mmenunua, tofauti na hapo mtatuona wabaya jamani.....😹Mimi na wewe ndio hatuna gari humu JF.
Tanganyika ya nani hiiWazima humu?
Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.
Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"? Ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.
Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.
Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri.
Gari zinaanzia mil 10+ chini ya hapo huo ni Mkokoteni unaotumia injini.Mkuu chakarika utafute hata milioni 3.5 ya Passo ya mkononi
Hapo umeagiza toka japan, kwa hapa dar unaipata kwa m8-9 kwa madalali.RAum ni mil 17 Vat included
Wale hawakupi lift, wanakuvamia tuUlijipendekeza mwenyewe tu je ingekuwa ni wale wasiojulikana huoni kama ungemponza mwanao?
Sisi ni wazee wa Fortuner new model m120Eti kiraum, nyie watu mna hela sana
Soma vizuri hajasema RAUM .... Haraka ya nini??Mimi nikajua roho imekuuma kwa kuogopa jamaa mwenye Raum angekuteka wewe na huyo madogo, kumbe wivu wa jamaa kumiliki ki-Raum ulikutesa.
Raum ni sh. 8-9m tu
Yes, mwanaume unatakiwa uwe hivyo.Wazima humu?
Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.
Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"? Ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.
Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.
Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri.
Pole mkuu,Wazima humu?
Mimi huwa na utaratibu wa kutoka na mwanangu asubuhi kumpeleka shule kila siku na huwa natoka nae kuanzia saa moja huwa tunapanda bajaji au bodaboda, sasa leo tukiwa tunatembea kuona kama tutakutana na bajaji ili tupande ndo akapita jamaa na Rumion nyekundu akaniambia panda nikusogeze mpaka stand na sisi tukapanda.
Wakati tumeshuka mwanangu akaniuliza "baba mbona hujamlipa nauli"? Ikabidi nimuongopee tu nikamwambia nimempa ila wewe hukuona.
Niseme tu ukweli japo jamaa kanisaidia ila roho imeniuma sana, manake mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye nguvu kuliko baba za watu wote, mwanangu anajua baba yake ndo mtu mwenye hela kuliko baba za watu wote.
Roho imeniuma sio kwa wivu wa chuki kwanini sina gari bali ni kwa wivu wa maendeleo, itabidi nipambane na mimi ili nimpeleke mwanangu shule na usafiri.
January miezi ya ada sio utapiga kalenda tena? Nmekuongezea hadi March....pasaka utoke out na gari lako please, zaidi ya hapo hatutaelewana 😹Mi naomba niongezee mda kidogo mpaka January