Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

Kucheza na biashara ya mtu ni kucheza na maisha yake, ulitakiwa kupunguza angalau mia tano sio elfu nne nzima, pima uwezo wako kivita uwawahi kabla hawaanza kukulipua au ukijingundua dhaifu ondoa hilo tangazo ila undelee na bei ulionayo. Ikishindikana fanya kwa maelekezo yao.
Monopoly is not acceptable kwenye biashara huria, kila Mtu auuze anavyoona yeye Kama inamlipa! Maana kuna Wafanyabiashara wengine wao wanapenda sana super profit!!
 
Heri ya Pasaka!

Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.

Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.

Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.

Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.

Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Watakuua wachaga hao 🤣🤣roho zao ziko kwenye hela kama mchungaji kimaro 🤣🤣katoea taarifa kituo Cha polisi au hamisha goli la biashara ,tafuta sehemu jiran kiasi na hapo afu uuze kwa bei hiyohiyo ya elfu 8 wateja wako watakufata
 
Heri ya Pasaka!

Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.

Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.

Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.

Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.

Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Usiogope.
Wafuate wanakokaa ama kufanyia biashara ukiwa na silaha kama vile panga na kisu.Wape hizo silaha kipole kabisa, waambie wakuue mapema kwakuwa sharti lao la kupunguza bei hautaliweza. Wakishindwa waambie kuwa atakayejaribu kukufuatilia tena atakuwa wa kwanza kufa.
Rudi kazini kwako kapige kazi.
 
Heri ya Pasaka!

Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.

Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.

Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.

Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.

Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Bei uliyo shusha haipo kiushindani! Ungefanya hata elf10 au 11 atleast

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Hakikisha Kila mteja unayemuuzia anajua hizo taarifa kwa ufupi na wewe tangaza Hapo mtaani kote kuwa wanataka kukuua kwa kufanya hivyo hata ukijikwaa watalaumiwa wao..
Na mwishoni watageuka kuwa walinzi wako by the way wasikupangie bei kama vipi na wao wauze elf 7 kilo
Ivo yaan
 
Heri ya Pasaka!

Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.

Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.

Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.

Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.

Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.

Chai
 
Kucheza na biashara ya mtu ni kucheza na maisha yake, ulitakiwa kupunguza angalau mia tano sio elfu nne nzima, pima uwezo wako kivita uwawahi kabla hawaanza kukulipua au ukijingundua dhaifu ondoa hilo tangazo ila undelee na bei ulionayo. Ikishindikana fanya kwa maelekezo yao.
Biashara ya mtu gani aliyocheza nayo?hio ni free market kama anapata faida aendelee kupiga hela,mbona alipokuwa hauzi hawakuja kumnasua?Na yeye pia ana familia itakufa njaa.
 
Wana point japo ya kukutoa uhai wamefika mbali sana, ushauri wangu chukua tahadhari usichukulie utani.
Heri ya Pasaka!

Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.

Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.

Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.

Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.

Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
 
Hapo nenda kawashtaki na najua wataomba yaishe hapo usikubali labda wao wajiwekee dhamana ya ulinzi wa maisha yako
Nakubaliana na wewe,aende akaripoti,najua lengo sio kumuua ila kumtisha,maana muuaji hawezi kukufuta live na vitisho vya kijinga na anafahamika,najua hapo akikomaa watahamia kwenye uchawi ili kuua biashara,sasa huko jamaa ndio ajiimarishe kama ni kwa Mungu au apambane kishetani nayeye.
 
Babu uza bei hiyo hiyo elfu 8 wananchi wenye kipato kidogo tupate sehemu ya kupoza roho,mbeya,iringa, Kilimanjaro,ruvuma bei zao kitonga tu Ila dar wanajifanya wanauza bei kubwa mbezi kuna sehemu elfu 15
Mkipatikana watu 10 kama nyie maisha yatakuwa kitonga sana just image kabla pasaka nyama ya ng'ombe ilikuwa elfu 7 jana bei ikapaa wakawa wanauza elfu 9/10
 
Back
Top Bottom