MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Allah atakulinda mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Monopoly is not acceptable kwenye biashara huria, kila Mtu auuze anavyoona yeye Kama inamlipa! Maana kuna Wafanyabiashara wengine wao wanapenda sana super profit!!Kucheza na biashara ya mtu ni kucheza na maisha yake, ulitakiwa kupunguza angalau mia tano sio elfu nne nzima, pima uwezo wako kivita uwawahi kabla hawaanza kukulipua au ukijingundua dhaifu ondoa hilo tangazo ila undelee na bei ulionayo. Ikishindikana fanya kwa maelekezo yao.
Watakuua wachaga hao 🤣🤣roho zao ziko kwenye hela kama mchungaji kimaro 🤣🤣katoea taarifa kituo Cha polisi au hamisha goli la biashara ,tafuta sehemu jiran kiasi na hapo afu uuze kwa bei hiyohiyo ya elfu 8 wateja wako watakufataHeri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Ona hii mbuziWatakuua wachaga hao 🤣🤣roho zao ziko kwenye hela kama mchungaji kimaro 🤣🤣katoea taarifa kituo Cha polisi au hamisha goli la biashara ,tafuta sehemu jiran kiasi na hapo afu uuze kwa bei hiyohiyo ya elfu 8 wateja wako watakufata
Niteme arifu,punguza shobo mtoto wa kiume,usiwe na tabia za kina jumalokole kuparamia watu usowajua🤣🤣🤣Ona hii mbuzi
Usiogope.Heri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Bei uliyo shusha haipo kiushindani! Ungefanya hata elf10 au 11 atleastHeri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Ivo yaanHakikisha Kila mteja unayemuuzia anajua hizo taarifa kwa ufupi na wewe tangaza Hapo mtaani kote kuwa wanataka kukuua kwa kufanya hivyo hata ukijikwaa watalaumiwa wao..
Na mwishoni watageuka kuwa walinzi wako by the way wasikupangie bei kama vipi na wao wauze elf 7 kilo
Heri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Biashara ya mtu gani aliyocheza nayo?hio ni free market kama anapata faida aendelee kupiga hela,mbona alipokuwa hauzi hawakuja kumnasua?Na yeye pia ana familia itakufa njaa.Kucheza na biashara ya mtu ni kucheza na maisha yake, ulitakiwa kupunguza angalau mia tano sio elfu nne nzima, pima uwezo wako kivita uwawahi kabla hawaanza kukulipua au ukijingundua dhaifu ondoa hilo tangazo ila undelee na bei ulionayo. Ikishindikana fanya kwa maelekezo yao.
Heri ya Pasaka!
Eneo nilipo kuna wafanyabishara 5 wanauza nyama ya nguruwe kilo 1 wanauza elfu 12, ilo eneo mimi ni mgeni nina miezi 4 tu Ila punde baada ya kufungua banda langu nilikuwa nauza bei sawa na wenzangu sh 12k lakini nilikuwa siuzi kabisa naweza kukaa mpaka siku 4 siuzi kabisa ikafikia hatua nyama ikawa tasteless napata hasara nyama natupa.
Baadae nikapiga hesabu nikasema ngoja nishushe bei niuze KG 1 kwa elfu 8, nikabandika tangazo kuwa nyama ni elfu 8 tu Mambo yakawa c haba nikaanza kupata wateja wakutosha tu kwa wiki nikawa nachinja mpaka nguruwe 3.
Juzi kijana wangu niliyemuajiri wakamfata wakamwambia dogo unatuharibia biashara tafadhali tunaomba uuze bei ile ile ya mwanzo 12k,dogo akasema mimi sio boss ngoja niwape namba za boss; walivyopata namba zangu wakanipandia hewani wakaanza kuniambia nishushe bei nawaharibia biashara na hiyo ndio biashara inayoendesha maisha yao na familia yao.
Leo asubuhi wamenifata nyumbani sijajua ni nani aliyewaelekeza wakanipiga mkwara mzito lazima roho yangu iende kuzimu.
Nipeni ushauri wananzengo, nifanyaje?Tusijekufika pabaya maana wanaoneka hawatanii.
Nakubaliana na wewe,aende akaripoti,najua lengo sio kumuua ila kumtisha,maana muuaji hawezi kukufuta live na vitisho vya kijinga na anafahamika,najua hapo akikomaa watahamia kwenye uchawi ili kuua biashara,sasa huko jamaa ndio ajiimarishe kama ni kwa Mungu au apambane kishetani nayeye.Hapo nenda kawashtaki na najua wataomba yaishe hapo usikubali labda wao wajiwekee dhamana ya ulinzi wa maisha yako
Hii imekaa pouwa sana mkuu. Bei aweke 12k ila awe anawapa kilo moja unusu.Pole sana! Badilisha mfumo uza bei kama yao elf 12 lakin lile punguzo la elfu nne huwe unawaongeza nyama wateja wako. Pia toa report police
Sasa kweny reply Yako wachaga wanahusikaje...qcha uchokoNiteme arifu,punguza shobo mtoto wa kiume,usiwe na tabia za kina jumalokole kuparamia watu usowajua🤣🤣🤣