Una wa overrate mno mkuu, wala hawako sophisticated kihivyo ni weupe mnoUnajipa wasiwasi usio na maana, kama ni vyombo vya sheria au idara ya usalama ingekua inakutafuta na namba yako wanayo Wala hata wasingehangaika kuja kijiweni ungedakwa huko huko mbeya kama kuku
Kwa hiyo kutokana na hizo sababu bado zilipekea BAGENI kufungwa?Mkuu naweza kutojua lolote kwenye hilo, ila Kwa akili za kawaida huenda Moja wapo ya hizo sababu ikatumika kuondoa Uhai Kwa wenzetu
Kabisa.Watu wapo trained na kazi hizo, wana siraha, wapo wengi then jamaa anasema atawafurahisha wakija😁😁 aombe Mungu wawe vibaka wa mtaani tuu ila sio wajuba.
Hivi mkuu akija askari mmoja wale ambao huwa wanavunja tofali kwa ngumi unaweza kabiliana nae?Una wa overrate mno mkuu, wala hawako sophisticated kihivyo ni weupe mno
Kama ni kitu personal hutawaona ila kama ni kwa maslahi ya Taifa utamezwa ushtuke uko tumboni mwa -CHATUMkuu nyie subirini tu Taarifa mtaipata ITV,TBC au AZAM ,hizo porojo za kwamba wako trained ndo itafahamika nikifika Dar
Kukabiliana nao ni kipengere mkuu ila kwenye issue za kutafutana ni weupe mno ndio maana wanatumia mbinu za manually sana sijajua ni techonolojia ndio ndogo au lack of skilled labour 😁Hivi mkuu akija askari mmoja wale ambao huwa wanavunja tofali kwa ngumi unaweza kabiliana nae?
Imagine wapo 6 na wana silaha either uzi au smg.
Utachomoka hapo?
Ukamtwe kwa kosa gani? Unahisi ni kina nani?Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!
Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!
Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!
Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!
Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!
Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"
Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"
Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"
Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"
Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.
Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!
Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!
Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.
Narudia tena
Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.
NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.
Mimi ndiye UMUGHAKA
MaafisaUsikute ni mambo ya Vijana tu wa bodaboda(Maafisa Usafirishaji) kutembea na Wake za watu.
Wale Wafanyabiashara waliuawa kutokana na sababu za kiuhalifu tu walizonazo Polisi wengi zaidi waliopo hapa nchini.Wafanyabiashara wa Madini wa Ulanga miaka ile??
Mauaji hufanyika Kwa sababu kadhaa ikiwemo;
- Maagizo kutoka Juu Kwa kuona treats za huyo mtu ama kikundi cha watu
- Ugomvi wa Kibiashara hasa kuzurumiana
- Ugomvi wa kimapenzi
- Kulipa Kisasi
- Kukosea target, badala ya X wakamfata Y
- Nafasi za kiSiasa n.k
Jamaa anajua wanaomtafuta ni panya road labda😁Nafikiri unapaswa kuchukua tahadhari kubwa sana. What if unamwagiwa 'pepper spray' na kukuteka, what can you do?
Take care.
HAKIKISHA MTU MWENYE RASTA AU KIJANA YOYOTE ALIYEONGOZANA NA BINTI HAWAKUKARIBII, USIKUBALI KUINGIA KWENYE GARI AINA YA NOAH KWA MAELEZO KUWA UNAELEKEA KITUO CHA POLISI.Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!
Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!
Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!
Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!
Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!
Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"
Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"
Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"
Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"
Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.
Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!
Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!
Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.
Narudia tena
Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.
NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.
Mimi ndiye UMUGHAKA
Haya mambo bwana unaweza kuona kama sio shida kwakua hajakukuta wewe au Ndugu yako ama rafiki yako wa karibu.Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!
Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!
Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!
Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!
Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!
Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"
Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"
Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"
Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"
Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.
Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!
Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA
Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!
Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.
Narudia tena
Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.
NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.
Mimi ndiye UMUGHAKA
Mkuu siingi kwenye gari kamwe na wataamua wao,nife Mimi au waoHAKIKISHA MTU MWENYE RASTA AU KIJANA YOYOTE ALIYEONGOZANA NA BINTI HAWAKUKARIBII, USIKUBALI KUINGIA KWENYE GARI AINA YA NOAH KWA MAELEZO KUWA UNAELEKEA KITUO CHA POLISI.