Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Nimepewa Taarifa na washikaji zangu kijiweni kwamba kuna watu wananitafuta

Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!


Nimepewa Taarifa na washikaji zangu hapo Dar es salaam ya kwamba kuna watu (Mwanamke 1 & Wanaume 2) wananitafuta!

Nikiwa Niko hapa Mbeya takribani miezi miwili Sasa nikiwa kwenye shughuli zangu nyingine,nilipigiwa simu na jamaa zangu wawili Kwa nyakati tofauti na wakanialifu ya kwamba kuna watu wamekuwa wakienda pale kijiweni kunitafuta na wanadai ya kwamba nimewahi kukopa pesa kwenye taasisi Yao (Jina kapuni) na nimeshindwa kulipa Deni Kwa wakati na kila wakinipigia simu sipokei na wakati mwingine nimewapigia Block!

Mbaya zaidi hao watu wananifahamu Kwa Majina yangu halisi kama ambavyo kijiweni nafahamika kwenye daftari la Umoja wa madereva bodaboda/Bajaji hapo Bunju!

Binafsi sijawahi kukopa pesa kwenye taasisi yeyote Ile hapa nchini na kwasasa sihitaji mkopo wa aina yeyote,Pili,Hakuna mtu yeyote au taasisi anayenidai pesa au kitu chochote!
Kutokana na matukio yanayoendelea hapa nchini,washikaji zangu walikuwa na mashaka na hao watu na wao wamenitaarifu ya kwamba hao watu kimionekano ni watu eidha kutoka Jeshi la Polisi au idara nyingine ya Kiusalama hapa nchini,kwasababu naarifiwa maswali ya dodoso waliyokuwa wakiulizwa siyo ya kawaida!

Hapo kijiweni Kuna jamaa alitoweka kwenye mazingira ya kutatanisha tangu mwezi wa 5 hadi Leo hii haijulikani Yuko wapi!

Juzi moja Kuna jamaa alinipigia simu huku akinichangamkia kishenzi akitaka nikamchukue maeneo ya IPTL nimpeleke Mbezi,Binafsi nikajua anaweza akawa miongoni mwa abiria wangu,kwakuwa hakujua kama sipo Dar es salaam nilimwambia "Mimi Niko mbali kidogo boss,ngoja nimshutue mshikaji wangu aje akuchukue hapo,nampatia namba yako"

Jamaa "Mimi nakutaka wewe kaka maana huwa uko makini sana barabarani"

Mimi "Sawa boss lakini Niko mbali (Sikutaka kumwambia nilipo) sidhani kama nitawahi ndiyo maana nakuomba nikuitie mtu ninaye muamini atakupeleka na utafika salama"

Jamaa "Hapana kaka,wewe kama ni pesa nitakuongezea Mimi nakutaka wewe"

Hapo ndipo nilipopata mashaka kwasababu abiria wa bodaboda tunawafahamu na siyo rahisi kihivyo,pili,Jamaa bado aliendelea kunipigia Simu japo nilimwambia nimetoka lakini hakukata tamaa!,baada ya kuona huo Usumbufu sikupokea hadi Leo.

Sasa,nafahamu mko humu na mnanisoma vizuri tu,Niwaambie mambo yafuatayo nyie Vishoka!

Mimi naitwa UMUGHAKA wengine hupenda kuniita UMUGHAKA WA BHAGHAKA

Dar es salaam narejea Mwezi Ujao,na kama kawaida Dar es salaam Sina shughuli nyingine zaidi ya Udereva wa Bodaboda!

Siku mtakapokuja kijiweni eidha ni kunikamata au Kwa jambo lolote lile baya,Njoeni kabisa mkiwa mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyie au nife Mimi.

Narudia tena

Siku mtakapokuja kijiweni hakikisheni mmetubu na kuziaga familia zenu maana ni eidha mfe nyinyi au nife Mimi.

NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
UMUGHAKA
Liwalo na liwe, mnyonge hana cha kupoteza
 
Kumbe we ni mzee wa kanisa? Hongera sana.

Mimi nimeshajichanganya na ya dunia acha tu niendelee ndio ulevi wangu.
Unajua ukifika umri kama wangu ni lazima ujisogeze madhabahuni 🤗

Ninyi bado damu inachemka 😜
 
Muombe Mungu akuepushe na hayo usiku was leo!

Mkeo na watoto/mtoto.wanakutegemea sana!

Hivyo tu,ACHA kupambana mwenyewe Mungu yupo!
 
NATAKA NIFANYE KITUKO AMBACHO NAAMINI DUNIA NZIMA ITAGEUZA MACHO YOTE KUITAZAMA TANZANIA.


Mimi ndiye
@UMUGHAKA
Mkuu UMUGHAKA hao mbwa sio wa kuwalazia famu. Kwa kuwa ushajua mbinu zao jiandae uwe unatembea na sime kwenye koti ili siku wakiiingia anga zako uwaoasue vichwa.
 
Watu wakisikia habari za utekaji wanafikiri ni masihara au watu wanatafuta kiki ...

Lakini hili jambo ni real (LA kweli)

Nilidokezwa katika ofisi flani (sijawezi kuitaja) boss wa ofisi husika kapotea miezi minne sasa ...
Yaani alianza kusakamwa baada ya kupokea hela kutoka nje ya nchi ..
Kwa kazi zake anazofanya ..

Tena aliitwa na watu wakijidai ni maafisa wa kodi na mpaka Leo anatafutwa kuanzia hospitalini, polisi .. Bila mafanikio ...

Lakini kwa pembeni inasemwa ...ni wasiojulikana walimchukua wakitaka kugawana na walichoona kwenye account ...ambayo ni pesa yake halali ..

Sasa unaweza ukafikiri hili swala halinihusu kwa kuwa Mimi sijishughulishi na siasa ....Mara Mimi Nina kadi ya CCM Niko salama ...

Hii hali inaenda kukomaa ...na italeta shida kwakuwa ...wasiojulikanika wana silaha ...na magari ...hawazuiwi na check point ..za barabarani ...
Kama taifa tuna mlima mzito sana
 
Back
Top Bottom