Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

KOMAA MM ILISHAWAHI KUNITOKEA NIKAPEWA USHAURI WAKANIAMBIA
" KOMAAA ,KOMAA, KOMAA BWANA"
NA MM NIKAKOMAA KWELI MBONA NILIFAULU
 
Jamani! Kweli Dunia ina mambo! Mkuu usiwe na shaka... Wewe piga pepa unavyoweza, hata ukipata supp utasapua. So far mtihani wa supp unakuwaga relatively easier kuliko wa UE. Siku ingine pia uache uvivu wa kusoma. Kama wewe ni mvivu by nature, hakikisha kuwa unaenda kusomea Library... Kusomea Library kumenisaidia sana mimi mvivu mwenzako maana concentration inakuw to the maximum...
 
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana

Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu kwenye pepa ,,nikiona sipo comfortable zaidi naomba ruksa naenda kugoogle maswali chooni au kuangalia majibu kwenye slides za kwenye simu

Sasa jamani UE inakaribia halafu kupiga chabo ni vigumu kwa sababu wasimamizi wanakuwa wengi na msimamizi akikudaka unapiga chabo halafu akakupeleka ngazi ya juu anapewa laki 2 yake ,,,,,sasa hapa nilipo nawaza kila ninachokisoma sikielewi kwa sababu nimedoji vipindi vingi na mitihani ndo kama hivyo inakaribia


Je nifanye nini ili nifaulu???
Subiria kuwa Mkuu wa mkoa!!!
 
Acha masomo kakae kwa mama na baba uangalie movie

Nyie ndio ambao boom likitoka , hamuiingii darasani hadi mmalize kutumia boom.

Kipindi tupo chuo tulikuwa tunafundshwa kwa kufuata modules kumbe siku vyuoni kuna topics.
 
dah mkuu n hatar,na pepa ya UE haijawahi kumwacha mtu salama kwa kweli.
 
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana

Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu kwenye pepa ,,nikiona sipo comfortable zaidi naomba ruksa naenda kugoogle maswali chooni au kuangalia majibu kwenye slides za kwenye simu

Sasa jamani UE inakaribia halafu kupiga chabo ni vigumu kwa sababu wasimamizi wanakuwa wengi na msimamizi akikudaka unapiga chabo halafu akakupeleka ngazi ya juu anapewa laki 2 yake ,,,,,sasa hapa nilipo nawaza kila ninachokisoma sikielewi kwa sababu nimedoji vipindi vingi na mitihani ndo kama hivyo inakaribia


Je nifanye nini ili nifaulu???
Huna namna tafuta daktari utakae mueleza akakuelewa shida yako, omba akuandikie medical report ambayo itakuonyesha una tataizo la kiafya then utawala wa chuo wakipokea hiyo ripot watakuruhusu postponed UE uje fanya baadae vyuo vingi wana huu utaratibu wakutoa nafasi kwa wale walio shindwa kufanya paper na wenzao, hii itakusaidia ili uwe na muda wakujiandaa ufanye pepa peke yako kwa muda mwingine utakao pangiwa,


Ubaya wa chabo ni hivi kama unayemtegemea nae kakutana na maswali magumu basi wote nyie mtaanguka, jifunze kujitegemea na kujiaanda kwa kusoma,faida ya kusoma ni nyingi pia ukisoma unaongeza knowledge ktk nyanja mbalimbali na ufahamu wako unakua mkubwa, utakusaidia sana huko mbeleni hususani kwenye ajira yako na maisha yako ya kila siku jipange upya..........
 
Kwa kukusaidia wewe kilaza, omba ufanye special then ujiandae kwa hii miez miwil unaweza kidogo ukaambulia hata B
 
Back
Top Bottom