Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

yani we mleta uzi hujielewi mpk matusi tena. we ushajua tatzo ni kudoji si uache kudoji. haki ya kweli we rudi kitaa ukae hata miez 6 uone then urud chuo uone hutadoji hata sekunde. ila kwa ujumla we ni mjinga. nyie ndo wale wale BABA ANAUZA MTU ANAPELEKA NG'OMBE SHULENI.
 
Ndugu yangu chabo au videsa huwa havimwachi mtu Salama kipindi cha UE. Ushauri wangu panga mda usome sana maana bila shaka wewe ni mpigaji maji ya kizungu hivyo kwa huu mda acha kabisa. Na siku ya pepa tulia na usome swali vizuri pia nakushauri simu iache hostel au geto maana ukienda nayo tu lazima ushawishike.

Nakwambia tena kama wasimamizi wakiwa serious na ukaingia na mlungula nakwambia utakuwa mwisho wako wa chuo. Jiamini
 
Kuna jamaa yangu chuo yeye principle yake inasema ni hatari kuingia na kibuti kwenye chumba cha mtihani ila ni hatari zaidi kutokuingia nayo... Sijui alikuwa anatumia mbinu gani ila alitoka na Upper second yake
 
Wasomi wa mwendokasi hawa. Ingekuwa enzi zetu solution ilikuwa rahisi na ya uhakika ..... unaomba kurudia mwaka. Hii ilikuwa inatusaisia ili kumaster masomo yako, sio kupata alama za juu tu ambapo mbeleni hazina faida yeyote
Wasomi wenye A za kwenye makaratasi kichwani ni F
 
Inasikitisha sana...
Mkitoka hapo interview zinawashinda mnaanza kulalamika kazi zinatolewa kwa upendeleo...

Kufa kufaana... Endelea kupiga chabo uwafae wenzako usawa huu...


Cc: mahondaw
 
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana

Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu kwenye pepa ,,nikiona sipo comfortable zaidi naomba ruksa naenda kugoogle maswali chooni au kuangalia majibu kwenye slides za kwenye simu

Sasa jamani UE inakaribia halafu kupiga chabo ni vigumu kwa sababu wasimamizi wanakuwa wengi na msimamizi akikudaka unapiga chabo halafu akakupeleka ngazi ya juu anapewa laki 2 yake ,,,,,sasa hapa nilipo nawaza kila ninachokisoma sikielewi kwa sababu nimedoji vipindi vingi na mitihani ndo kama hivyo inakaribia


Je nifanye nini ili nifaulu???
unasomea taaluma gani mkuu ,tuanzie hapo kwanza
 
Inasikitisha sana...
Mkitoka hapo interview zinawashinda mnaanza kulalamika kazi zinatolewa kwa upendeleo...

Kufa kufaana... Endelea kupiga chabo uwafae wenzako usawa huu...


Cc: mahondaw

Hahahaahhahahaahahahahaha usinikumbushe Smart911 si kwa kurembua macho tu kule!!
Wadada tuna majaribu sio kidogo Tehtehteh

Washindweeeee
 
Jiandae kurudi September conference tu ka sio carry-over mwakani maana hakuna namna
 
Back
Top Bottom