Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

Nimepiga chabo sana semester nzima kuelekea UE msaada tafadhari

Panda dau na msimamizi tu hapo , kama wanapenwa laki 2 wewe jiongeze hapo maana tayari ushavurunda, pole
 
nasikitika sana nikiona waliopewa dhamana ya shule hawasomi[emoji26]...

mleta mada umewahi kukaa miaka10 home hujui hata maisha yako yanakoelekea? hujasoma? huna kazi huna lolote?
 
Nimeomba ushauri,,sijaomba kutukanwa
Hahahahahah mbona nmekshauri vizuri tuu sema unapenda vitu laini ndo mana umeona ushauri wangu Ni matusi.Nimekuita kilaza bada ya kuona unajitambua Na unajua nini cha kufanya lkn bado unaomba ushauri.

Kiufupi Ni kwamba haupo serious.
Kwa msomi wa chuo kikuu ambae yupo serious Na shule hawezi kuomba ushauri kuzembe namna hii.

Unapiga chabo,husomi,unadoji vipindi,afu unasoma chuo kikuu what do u expect!!?
 
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana

Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu kwenye pepa ,,nikiona sipo comfortable zaidi naomba ruksa naenda kugoogle maswali chooni au kuangalia majibu kwenye slides za kwenye simu

Sasa jamani UE inakaribia halafu kupiga chabo ni vigumu kwa sababu wasimamizi wanakuwa wengi na msimamizi akikudaka unapiga chabo halafu akakupeleka ngazi ya juu anapewa laki 2 yake ,,,,,sasa hapa nilipo nawaza kila ninachokisoma sikielewi kwa sababu nimedoji vipindi vingi na mitihani ndo kama hivyo inakaribia


Je nifanye nini ili nifaulu???
Jiandae tu kuja mtaani tuisome namba wote kwa pamoja
 
Huku uzi utaku hunt sana kila utakapo tumia hii ID pole sana. Na kama upo chuo kikuu dar....kuwa makini......
 
Back
Top Bottom