Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Waache tu majambazi yaje yaibeSaizi najiuliza yale majumba na ile mipira ya moto nani atailithi manake ndugu zake hawataki hata kuzisikia hizo mali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache tu majambazi yaje yaibeSaizi najiuliza yale majumba na ile mipira ya moto nani atailithi manake ndugu zake hawataki hata kuzisikia hizo mali
Hivi ndagu huwa ni Africa tu?Jamaa nasikia alikua na umri wa miaka 36 tu alafu mama yake alikuwa anaishi kilomita 3 toka hapo anapoishi mshkaji mama yake alikua masikini wa kutupwa mpaka anafariki mwaka jana. Nasikia iyo ndagu yake ilikua hailuhusu kusaidia ndugu wala kuzaa.
Umeona eeehKweli kabisa usemalo mzee.
Yaani ni kama mie hapa mgegedaji kweli kweli alafu siku naja kufa kwa ngoma niseme mungu amepanga.
Amepanga wapi wakati ni ujinga wangu mie mwenyewe kwa kuendekeza ngono zembe
Mkuu alikua anawachakata sana ndio mana kifo chake unakuta hakijapiga zimbabwe tu dada zetu kuanzia hapa bongo kenya uganda south africa wote wanalia kuwa wamepoteza danga la maana wadada wengi ukiona wanapost wanasafiri huwa wanaenda kudanga huko nje ya nchiHuyu jamaa ni falass sana. Yaani yeye anajaza magari kwenye nyumba baadala ya kujaza wake kama king mswati.
Tatizo nyie maatheists mliojawa na kiburi cha uzima hamuwezi kujuwa haya mambo hadi siku zile mko bed ridden ndio mna kumbuka Mungu.Unaweza kuthibitisha hilo, with facts?
mkuu hadi ulaya ndagu ipo ushahidi angalia movie ya harry porter
Ah basi alikuwa anafanya vyema maana hela tumia kwa warembo uwagegede hadi rahaMkuu alikua anawachakata sana ndio mana kifo chake unakuta hakijapiga zimbabwe tu dada zetu kuanzia hapa bongo kenya uganda south africa wote wanalia kuwa wamepoteza danga la maana wadada wengi ukiona wanapost wanasafiri huwa wanaenda kudanga huko nje ya nchi
Nani mule alitumia ndagu?mkuu hadi ulaya ndagu ipo ushahidi angalia movie ya harry porter
Ndio hivyo mkuu kupata kwako ngoma ilipangwa forces za nature zilikupeleka ugegede ili upate ngoma na ufe jins ilivyopangwa.Umeona eeeh
inaonekana hata movie yenyewe hujawai kuiona ingia you tube hapo mkuu
Unataka awe nao wengi ili wengine wawe wanawagegeda?Ah mke mmoja wa nini wakati una mihela. Wee unaweka wake kumi ndani ya nyumba.
Inasemekana hadi huyu zari wa diamond amewai chakatwa na jamaa na juzi kati zari alikua na birthday jamaa alim postAh basi alikuwa anafanya vyema maana hela tumia kwa warembo uwagegede hadi raha
Ajira jamaa katengeneza na alikuwa mtu wa watu. Utajiri wake jamaa ni zaidi ya 100 M us dollars. Siyo mchezoWa uhalali why amewekeza kwenye magari wakati kwao kuna maskini wakutosha angewatengenezea Akira kwa kuweka kwenye nchi yake
Sasa hata huo uzembe ulishapangwa na forces of nature ili ishu husika itikiAlipangiwa na nani!? Ingekuwa hivyo kungekuwa hakuna haja ya kutubu kuacha pombe n.k maana kama imepangwa then unatubu ili iweje! So hakunaga mipango Bali ukiona jambo tambua kuna uzembe ulifanyika mahali
Akili mbogaSasa hata huo uzembe ulishapangwa na forces of nature ili ishu husika itiki
movie nimeiona mda halafu ziko nyingi mzee karibia sabainaonekana hata movie yenyewe hujawai kuiona ingia you tube hapo mkuu
Kamuumiza nani mkuu. Hata kama kaumiza wangapi wanawaumiza wengine hawawi matajiri kama huyu.utajiri wa kuumiza wengine, mwisho wake huwa mbaya
😆😆😆Akili mboga
alimuumiza nani? mi naona vilivyoumia ni viungo vya wanawakeutajiri wa kuumiza wengine, mwisho wake huwa mbaya