Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Jamaa anaitwaje? Au Google na search vipi Mkuu?
ilikuwa imeandikwa picha za utupu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anaitwaje? Au Google na search vipi Mkuu?
Ukiona statement ya 'nasikia' 'nasikia' ogopa sana ukweli wa hio sentensi.Jamaa nasikia alikua na umri wa miaka 36 tu alafu mama yake alikuwa anaishi kilomita 3 toka hapo anapoishi mshkaji mama yake alikua masikini wa kutupwa mpaka anafariki mwaka jana. Nasikia iyo ndagu yake ilikua hailuhusu kusaidia ndugu wala kuzaa.
Warembo ambao hajawahi kuwaona maishani mwake?
Hatari faya
Wangapi ni maconmen lakini maskini?utajiri ni bahati? huyo jamaa ni known conman, kaliza wengi sana...jipe muda ufanye hata internet research, hao alikoufa nao wote wale wale, mmoja ni mhalifu wa malawi, alikuwa anatafutwa kwenye scandal ya cashgate (unaweza ku google pia), mwanamke nae mpigaji...
I can't breath kwa kweli
Hahah Producer Maneke.kuna jamaa hapa Bongo miaka kama 8 iliyopita zilivuja picha amefanya sherehe ya hivo,yani anatengeneza scarcity makusudi unakuta warembo 30 alafu wanaume 5 ,warembo wote wapo uchi,cheki google picha za hiyo sherehe bado zipo
Hahah Producer Maneke.
Mkuu kila moto una kiwango chake Cha kuzima na kuna moto mwingine hauwezekani kuzima Kutokana na intensity yakeWe mbuzi wa mtori hujui kwamba kuna fume ambayo unaweza itega ikilipuka inazima kama Bomu!?
Pia hujui vyanzo vya moto kwenye gari viaanzia wapi?
Au unataka nikupe elimu kijanja kwendraa
Hahah unamsemea yule mtoto wa mzee Rupia.[emoji23]acha Manaiki mkuu, huyu mwamba alimzidi manaiki, yani jamaa ana jumba kubwa sana na lina swimming pool kabisa
Kama ambavyo wewe huwezi kuyakataa hayo with facts, pia yeye hawezi thibitisha with facts.Unaweza kuthibitisha hilo, with facts?
Hahah unamsemea yule mtoto wa mzee Rupia.
Yes ni huyo jamaa na ilikua ni aibu sana maana ametoka from elite family.huenda ni huyo,jamaa fulani kijana hivi ana mwili wa wastani
Kazi ya kuthibitisha ni ya yule anayesema kitu kipo, si ya yule anayebishia hilo.Kama ambavyo wewe huwezi kuyakataa hayo with facts, pia yeye hawezi thibitisha with facts.
Yes ni huyo jamaa na ilikua ni aibu sana maana ametoka from elite family.
Utabishaje bila kuweka facts mezani!?Kazi ya kuthibitisha ni ya yule anayesema kitu kipo, si ya yule anayebishia hilo.
Somo dogo la mantiki hilo.
Ndo mambo yako hayo sio nyau weeilikuwa imeandikwa picha za utupu mkuu
Hakuwahi kuwa na mkeMke alikuwa naye ila miti jamaa alikuwa anatandaza