Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Naelewa umuhimu wa facts. Mimi ndiye nimeanza kuongelea facts hapa. Wewe unataka kunipora habari za facts.Utabishaje bila kuweka facts mezani!?
Mbona shangazi kaenda ICC kuthibitisha uchaguzi haukua halali !
Ndiyo maana nilivyoona zimeletwa habari za huyu mtu kupangiwa kufa, nikauliza hivi.
"Unaweza kuthibitisha hilo, with facts?"
Hujathibitisha.
Unaweza kuthibitisha huyu mtu alipangiwa kufa hivyo? With facts?