Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Jamaa nasikia alikua na umri wa miaka 36 tu alafu mama yake alikuwa anaishi kilomita 3 toka hapo anapoishi mshkaji mama yake alikua masikini wa kutupwa mpaka anafariki mwaka jana. Nasikia iyo ndagu yake ilikua hailuhusu kusaidia ndugu wala kuzaa.
Mbona alikuwa na mtoto!
 
Saizi najiuliza yale majumba na ile mipira ya moto nani atailithi manake ndugu zake hawataki hata kuzisikia hizo mali
Fanya mchezo nini kuungua ndani ya rolls Royce lazima ndugu washtuke.
Kilichonishtua zaidi ni ile clip ya wale mademu walivyokua wanapiga kelele kuomba msaada
 
Kamuumiza nani mkuu. Hata kama kaumiza wangapi wanawaumiza wengine hawawi matajiri kama huyu.

Ok wanamsema Diamond ni ngada. Wangapi wako kwenye ngada ni maskini.

Wengine wanawasingizia Akina Airinii wanauza K ndio maana ni mamilion EA. Wangapi wanauza k bado maskini?

Walisema Lowasa fisadi ndio maana bilionea. Wangapi ni mafisadi lakini maskini?

Utajiri ni bahati ndio maana matajiri ni wachache duniani

Huwezi kua muuza Ngada ukawa MASKINI,
Huwezi kua Fisadi ukawa MASKINI,
Huwezi kua mdangaji wa kimataifa ukawa MASKINI,

Kama unabisha, jaribu.
 
Inakuwaje wanaJF!

Ginimbi hatarii Aisee. Mungu ampokee kishujaa. Alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa haijalishi angekuwa maskini ama tajiri.

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka tu nadhan gharama za magari yote aliyomiliki ni kama 10-20 million US dollars.

Mfano tu ile Lamborghini avantador mpya ni 500k US $ kuisafirisha hadi kodi iingie barabaran na insurance ni 500k + $. Jumla 1.2 m

Ferrari 488 spyder 450k us $ ongezea kodi jumla 1.2 m
Hayo magari mawili tu yamemgharimu 2.5 US dollars.

Haya magari yote matatu Rolls Royce phantom, wrath na dawn yamemgharimu pamoja na kodi 3m + US$.

Bentley continental - 800k-1m US $

MERCEDES G 63- 800K-1M

RANFE ROVER SRV - 300k - 500k

Range rover autobiography 800k-1m

Yani hizo kwa uchache tu

Habari za tajiri Muulize maskini!

View attachment 1624186
Huyu katoa wapi ukwasi wote huu hali ya kuwa nchi yake ni maskini kabisa ulimwenguni.
 
Hiki kitu ameungua nacho kweli!
moana-mimi.jpg
 
Safi cha msingi ni kuwagegeda tuu ukiwa na hela. Yaani unakuwa una organize sex parties tuu. Hapo kila mtu ni kutembea uchi tuu ...mwaga vinywaji Vyakula coc pot vodka u name it
😁😁 Asiiise wewe jamaa unapenda kuchakata
 
mkuu hadi ulaya ndagu ipo ushahidi angalia movie ya harry porter
kwa hiyo pia wataka kusema kuwa hata Superman ni "real person" na siyo "fictional" huko America. Na kama Tukitaka ushahidi basi tutizame movie ya Superman.
Unapoelekea sasa mwisho wa siku utatuambia hata Spiderman ni kweli na tukitaka ushahidi tuangalie movie ya Spiderman.

Harry Potter, Movie unaona kabisa imeandikwa ni "Science Fictional" lakini unakazania kusema ni kweli.
Mwanamama JK Rowling ambaye ndiye aliyeanzisha stori za Harry Potter duniani yeye mwenyewe anasema ni za kufikirika na za kutunga tu ili kuleta burudani.
Mkuu, kuwa Milionea (USD millionaire) siyo sawa na kuwa na ngozi mwilini kwamba kila mtu anayo.
Kuwa Milionea siyo rahisi na ndiyo sababu mtu akifika u-milionea tu basi wengi wetu tunadhani kuwa siyo bure kuna "ndagu".
UTAJIRI WA MILLIONS ZA US-DOLLAR NI KAMA KUPATA "A" YA MATHEMATICS, HIVYO SIYO KILA MTU ATAPATA. ila tusichoke kupambana! tutafute Utajiri, Sababu you never know.
Hata wewe Mkuu, siku ukifanikiwa tu lazma wengi tutakuhusisha na imani potofu.
 
mkuu shugulisha ubongo wako hata kidogo basi sio unatumia akili kuvukia barabara tu movie ya Harry Potter imeonesha kuwa hata ulaya kuna uchawi ndio mana wakaweka ile theme wamejalibu ku portray kuwa hata wao ni wachawi
kwa hiyo pia wataka kusema kuwa Superman ni "real person" na siyo "fictional" huko America. Tukitaka ushahidi tutizame movie ya Superman.
Unapoelekea sasa mwisho wa siku utatuambia hata Spiderman ni kweli na tukitaka ushahidi tuangalie movie ya Spiderman.
 
Ila jamaa alikuwa na kiburi aisee! Kama kuna mganga basi Wake ni kiboko na kama kuna kafara basi hiyo yake ni muafaka.unaishi kwa raha kwa muda mfupi na unaungua na demu wako mpaka majivu.ni sadaka nzuri.
Duh
 
Back
Top Bottom