Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Nimepiga mahesabu yangu ya haraka haraka huyu Ginimbi alikuwa millionaire wa kutisha

Diamond aka domo anapesa kuliko ginimbi Na kibamia ni tajiri kuliko ote hapendage show off
 
Aisee, marehemu ameungua MOTO WAKE hapa hapa duniani. jiwe na genge lake wajifunze kupitia hapo, Mungu mkubwa.
 
Jiwe haliungui likateketea kwa moto.Pengina lipigwe barut zenye heavy ya tan laki 7
 
Ginimbi nouma Aisee hilo gari hapo ni Lamborghini aventador svj dolla za kimarekani laki tano hadi kuisafirisha hadi Harare iingie barabarani dollars zingine laki 5 jumla ni kama 1.2 millions dollars.

Isitoshe wanoko wanadai kwenye majumba yake yote ya kifahari mabomba yana mwaga maziwa, asali na maji safi na salama. Yani kuna opshen tatu za switch ya maziwa asali na maji Safi na salama pia kuna kitufe cha hot, warm, cool and cold.

Pavement za barabara zake ni dhahabu tupu.

Apokelewe tu kishujaa huko mbinguni hamna namna .

Habari za tajiri Muulize tu maskini!

heee jamani[emoji15][emoji15].

bomba la maziwa kwani anatembelewa na watoto??bora hata angeweka bomba la pombe[emoji23].

kama zile story za pistol ya dhahabu ya ghadafi,unawaza lengo ni nini[emoji848][emoji848]kuivaa shingoni au.
 
Inasemekana hadi huyu zari wa diamond amewai chakatwa na jamaa na juzi kati zari alikua na birthday jamaa alim post
Hamisa ashawahi chakatwa na jamaa na pia ashachakatwa na Ivan huyu Hamisa.
 
Wakikuona umenyoa upara wakikaa vijiwe vyao vya magazeti na kahawa utasikia jamaa bwana ana masharti ya kunyoa upara tu ....au ukivaa sandals utasikia jamaa hatakiwi kuvaa viatu kabisa , ana masharti ya kuvaa sandals

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe mpaka sasa hivi hujapata connection za utajiri?!..maake uliomba sana humu mkuu
 
Hivi chief kweli mtu awe na USD 20 Million then awe milionaire au ulimaanisha ni Billionaire??!
Hiyo ni bil 46 bado utaitwa millionaire, ukifikisha kuanzia dollar billion 43 ambayo ni trillion moja ya kitanzania ndo utaitwa billionaire na duniani hawafiki hata 100,
 
Hivi chief kweli mtu awe na USD 20 Million then awe milionaire au ulimaanisha ni Billionaire??!
Hiyo ni bil 46 bado utaitwa millionaire, ukifikisha kuanzia dollar billion 43 ambayo ni trillion moja ya kitanzania ndo utaitwa billionaire na duniani hawafiki hata 100,
 
Nilicho kipenda kwenye habari hii nii

""Habari ya utajiri wake mulize maskini""

Maisha ni mara moja tu duniani ukipata vitu vitumie sana kama yeye viwe vya halali au kuzimu ila pesa zote ni sawa.
 
Hiyo ni bil 46 bado utaitwa millionaire, ukifikisha kuanzia dollar billion 43 ambayo ni trillion moja ya kitanzania ndo utaitwa billionaire na duniani hawafiki hata 100,
Acha kudanganya kama hujui. Kwamba dola bilioni 43 ni trilioni 1 ya Tanzania, ulisikia wapi? Dola za Marekani milioni 480 zinatosha kukupa trilioni 1 ya Tanzania.

Billionaire ni mtu yeyote mwenye assets zinazofikia dola bilioni moja (in USD) kama akishatoa madeni yote alonayo. Ukiwa na mali za bilioni 3 ila unadaiwa jumla ya bilioni 2.6 wewe sio billionaire.

Duniani kuna zaidi ya 500 billionaires.
 
Hiyo ni bil 46 bado utaitwa millionaire, ukifikisha kuanzia dollar billion 43 ambayo ni trillion moja ya kitanzania ndo utaitwa billionaire na duniani hawafiki hata 100,
[emoji115][emoji115][emoji116][emoji116][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Acha kudanganya kama hujui. Kwamba dola bilioni 43 ni trilioni 1 ya Tanzania, ulisikia wapi? Dola za Marekani milioni 480 zinatosha kukupa trilioni 1 ya Tanzania.

Billionaire ni mtu yeyote mwenye assets zinazofikia dola bilioni moja (in USD) kama akishatoa madeni yote alonayo. Ukiwa na mali za bilioni 3 ila unadaiwa jumla ya bilioni 2.6 wewe sio billionaire.

Duniani kuna zaidi ya 500 billionaires.
Thanks T14 Armata
Kuna watu wanatuona wote wajinga humu.
 
Back
Top Bottom