Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Ngoja nikwambie kinachokuumiza mkulu

Kwanza comment za wadau wanakuchochea hatari, hamna kitu mbaya amefanya bibie wako ni dhana tu unaweka.

KIngine kinachokutesa zaidi ni hiki.

Hujawahi kudhani wala kuhisi utajikuta kwenye situation kama hii kwasababu uliamini na ulijiaminisha kwa asilimia 200 mkeo hawezi thubutu wala kukaribia wala kufikiria hicho unachokidhani kwa sasa.

Kwa hiyo ile imani yako ndio inakuumiza, japo ni nadharia ila hicho ndio kinakutesa zaidi.

Mama j akifanya hayo huwezi shangaa sana wala kupata mshtuko mkubwa sanaa kwasababu unamjua na imani yako kwake sio kubwa sanaa ila kwa yule unaeamini hawezi kufanya kitu fulani ukasikia amefanya au ukahisi ndio hicho kinakutesa ndugu yetu[emoji23]

Pole sana
Tuliza moyo
Wacha mama yoyo aende kwa mama kubwa
Yaan apa mkuu umeongea ukweli mtupu kabisa utadhan uko kichwani na moyoni mwangu,kiukweli Hii kitu inanivuruga mno[emoji29]
 
.

Mama j akifanya hayo huwezi shangaa sana wala kupata mshtuko mkubwa sanaa kwasababu unamjua na imani yako kwake sio kubwa sanaa ila kwa yule unaeamini hawezi kufanya kitu fulani ukasikia amefanya au ukahisi ndio hicho kinakutesa ndugu yetu[emoji23]

Pole sana
Tuliza moyo
Wacha mama yoyo aende kwa mama kubwa

Kweli kabisa mkuu, mamaJ nishajua Mara kibao ananicheat, ata sijawai umiza kichwa Kama inavonivuruga Hii kwa Sasa.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu mke unamuwekea mikakti ya kivita kama HAMAS
 
Sawa,acha mawazo mabaya mkuu,hata asipoenda kwa huyo unayemuhisi wa hiyo line!Wanaweza kufanya mchongo mwingine wa huyo njemba tana kuja kufanya Yao hapohapo kwako.Ruhusu tuu aende mengine,mwachie Mungu.
Yaan Wee ndo unaharibu kabisa,
Kwamba waje kufanya Yao kwangu?
Hivi uko serious mkuu? Hivi Ayo yanafanyika Niko hai au nmekufa?
 
Hivi kwanini unaempenda akizingua moyo unaumaa sana, ni anakua akiuchokonoa ama maana moyo unakua kama unataka kutoka hivi, hii mambo ya kupendana inakua ni kama umeficha mtu moyoni kama msukule, mpende kwa kiasi wapendwa wa bwana
 
Huyo mama mkubwa utakuta hana mume au kama anae ni zezeta. Umeshaolewa tulia na mumeo kwa mama mkubwa kufanya nini na watoto, yeye hana wajukuu hadi atake wa mdogo wake! Send off mnafanyiwa kuagwa halafu hamtulii kwa waume zenu,
 
Hivi kwanini unaempenda akizingua moyo unaumaa sana, ni anakua akiuchokonoa ama maana moyo unakua kama unataka kutoka hivi, hii mambo ya kupendana inakua ni kama umeficha mtu moyoni kama msukule, mpende kwa kiasi wapendwa wa bwana
Kweli kabisa,huu mtihani nnaopitia ndo nmejua kias uwa nampenda sana wife[emoji29]
 
Mke anachungwa kama mbuzi? Hutafaulu mkuu, kama kugongwa lazima atagomgwa tu! Ila ma vijana ya siku hizi mmekuwa mapopoma sana!
 
Back
Top Bottom