Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Nimepiga marufuku safari zote za mke wangu msimu huu wa sikukuu

Alfajr ya leo kumekucha naamshwa na mke wangu, Anaomba nimpatie nauli, MDA wa Safari yake ndo huu. Nikamjibu "Nmeshaghaili, safar yako haipo Tena"

Akauliza tatizo Nini, mbona Jana tushakubaliana alfajir leo naondoka?. Nikamjibu, "Nmeshaghaili sasa, hakuna Safari yoyote ile, na sitaki unihoji maswali yoyote yale" akasema "sawa,ila unachofanya sio halali mme wangu" .Sikumjibu, nikaamka nikaoga, nikavaa na Kwenda zangu kazini

Nmefika kazini salama, nmejaribu kufanya Kazi ila haziend vizur. Kila nikijaribu kuliwazia tukio la Juzi la laini mpya, Kisha Hii presha ya wife kulazimisha hii Safari, kiukweli Moyo wangu umekua mzito Sana kumruhusu mke wangu asafiri.

Pengine sijajua kama nakosea au vipi,
Ila nmedhamiria kabisa MKE wangu hatosafiri kwenda popote pale msimu huu wote wa sikukuu.

Nawasilisha wakuu[emoji1431]
Sawa,acha mawazo mabaya mkuu,hata asipoenda kwa huyo unayemuhisi wa hiyo line!Wanaweza kufanya mchongo mwingine wa huyo njemba tana kuja kufanya Yao hapohapo kwako.Ruhusu tuu aende mengine,mwachie Mungu.
 
Hahaha pole Sana [emoji23][emoji23][emoji23]



Kupigiwa sio mchezo inahitaji moyo. Kila ukiwaza mkeo anavyopakwa mate akiwa anaandaliwa na njemba au ukiwaza mkeo anavyoirudishia Mashine inapochomoka akiwa anapigwa Mashine na jamaa lazima akili ikuruke !


Ila karma is bitch, Huwa unakuja hapa kujitapa kutembea na wake za watu. Pole sana jikaze
Na hii ni mvua Jani la mngomba litamkinga na sio kuzuia mvua. Yaani yeye amepata PA kuanzia ila kuna wengine wengi hatujui na watakuwa wanatoka
 
Huyu ungemruhusu aende ila gari anapanda ungeweka shushushu wako ajue anapoishi ampige patrol ungeokota kitu ila hii kupanic hapo ashampigia jamaa huku hakujatulia naomba asitafutwe hadi 15th january ambapo jamaa atapewa jicho
 
Dah! Yaan Wee jamaa[emoji29]
Pole sana
Haya mambo bora usijue yaani uishie kuhisi tu yaani ibaki hisia tu. Kuchapiwa inauma hata kwenye mawazo tu... Unaweza kuchukua maamuzi magumu sana ambayo hujawahi Kuyafikiria tqngu uanze kujitambua
 
Mwanamke kunyanduliwa ni kitendo cha dakika 5 tu kwahyo we mkataze ila akiamua jambo lake lazima litimie watu wananyanduliwa dirishani mmoja yupo nje mwingine ndani endelea kuchunga mzigo watu wanaula kiufundi
 
Mwanamke kunyanduliwa ni kitendo cha dakika 5 tu kwahyo we mkataze ila akiamua jambo lake lazima litimie watu wananyanduliwa dirishani mmoja yupo nje mwingine ndani endelea kuchunga mzigo watu wanaula kiufundi
Vibaka wote mnaokula wake za watu mtaenda motoni[emoji29]
 
Dah! Mkuu wee acha TU,
Yaskie tu kwa Watu, wasiwasi wa kuchapiwa MKE anauma balaa[emoji29]

Ngoja nikwambie kinachokuumiza mkulu

Kwanza comment za wadau wanakuchochea hatari, hamna kitu mbaya amefanya bibie wako ni dhana tu unaweka.

KIngine kinachokutesa zaidi ni hiki.

Hujawahi kudhani wala kuhisi utajikuta kwenye situation kama hii kwasababu uliamini na ulijiaminisha kwa asilimia 200 mkeo hawezi thubutu wala kukaribia wala kufikiria hicho unachokidhani kwa sasa.

Kwa hiyo ile imani yako ndio inakuumiza, japo ni nadharia ila hicho ndio kinakutesa zaidi.

Mama j akifanya hayo huwezi shangaa sana wala kupata mshtuko mkubwa sanaa kwasababu unamjua na imani yako kwake sio kubwa sanaa ila kwa yule unaeamini hawezi kufanya kitu fulani ukasikia amefanya au ukahisi ndio hicho kinakutesa ndugu yetu😂

Pole sana
Tuliza moyo
Wacha mama yoyo aende kwa mama kubwa
 
Back
Top Bottom