zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Shukran kwake ni tusi atakupa ban
TunaKUSHUKURU mtoa mada kwa kutukutaza KUSHUKURU baada ya kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TunaKUSHUKURU mtoa mada kwa kutukutaza KUSHUKURU baada ya kula
KabisaHalafu ukimkàtaza kufanya kitu anachooña ni sahihi atafikiri "akufukuzae hakwambii toka".
Kula ni ibada sheikh!Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula.
Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao wanaishi muda mrefu, kwamba kila anapomaliza kula anamuangalia “mama mwenye nyumba” na kumshukuru kwa chakula.
Nimekataza hilo na kuelekeza shemeji yenu wakati wote kutoa elimu kwa upole kwa mgeni atakayeshukuru kuwa hatuna utaratibu huo na asiwe na hofu, ajisikie huru na kwakuwa ni mgeni wetu tunatamani ajione ni sehemu ya familia na anahaki na fursa sawa na wengine tuliopo.
Binafsi naona utamaduni huo ni unaguzi na unachochea madaraja na kufanya mgeni aendelee kujihisi ni mgeni wakati wote na chakula kwake aone kama hisani ambayo hakustahili kupata.
Nafikiri kwanini mgeni huyo asishukuru anapomaliza kuangalia televisheni kipindi anachokipenda, au ashukuru kila asubuhi kwa kupewa chumba cha kulala.
Baadhi ya familia hadi mtoto anashukuru kwa chakula kila anapomaliza kula. Hapana, hilo nimekataza.
(Picha haihusiani)
Nchi ya mihemko, hatusumbuagi vichwa kufikiri zaidi ya kukurupuka kama kijamboIdea nzuri sana ila kueeleweka itakuwa ngumu
Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula.
Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao wanaishi muda mrefu, kwamba kila anapomaliza kula anamuangalia “mama mwenye nyumba” na kumshukuru kwa chakula.
Nimekataza hilo na kuelekeza shemeji yenu wakati wote kutoa elimu kwa upole kwa mgeni atakayeshukuru kuwa hatuna utaratibu huo na asiwe na hofu, ajisikie huru na kwakuwa ni mgeni wetu tunatamani ajione ni sehemu ya familia na anahaki na fursa sawa na wengine tuliopo.
Binafsi naona utamaduni huo ni unaguzi na unachochea madaraja na kufanya mgeni aendelee kujihisi ni mgeni wakati wote na chakula kwake aone kama hisani ambayo hakustahili kupata.
Nafikiri kwanini mgeni huyo asishukuru anapomaliza kuangalia televisheni kipindi anachokipenda, au ashukuru kila asubuhi kwa kupewa chumba cha kulala.
Baadhi ya familia hadi mtoto anashukuru kwa chakula kila anapomaliza kula. Hapana, hilo nimekataza.
(Picha haihusiani)
Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula.
Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao wanaishi muda mrefu, kwamba kila anapomaliza kula anamuangalia “mama mwenye nyumba” na kumshukuru kwa chakula.
Nimekataza hilo na kuelekeza shemeji yenu wakati wote kutoa elimu kwa upole kwa mgeni atakayeshukuru kuwa hatuna utaratibu huo na asiwe na hofu, ajisikie huru na kwakuwa ni mgeni wetu tunatamani ajione ni sehemu ya familia na anahaki na fursa sawa na wengine tuliopo.
Binafsi naona utamaduni huo ni unaguzi na unachochea madaraja na kufanya mgeni aendelee kujihisi ni mgeni wakati wote na chakula kwake aone kama hisani ambayo hakustahili kupata.
Nafikiri kwanini mgeni huyo asishukuru anapomaliza kuangalia televisheni kipindi anachokipenda, au ashukuru kila asubuhi kwa kupewa chumba cha kulala.
Baadhi ya familia hadi mtoto anashukuru kwa chakula kila anapomaliza kula. Hapana, hilo nimekataza.
(Picha haihusiani)
sasa nina umri wa miaka 43, tangia nizaliwe ndio mara yangu ya kwanza kusikia kuna WATOTO NA WENGINE WOTE HAWASHUKURU. Ama kweli kua uyaone. DuuuuuhWatoto na wengine wote hawashukuru. Kwanini mgeni ashukuru mara zote??
Unachokipanda kwa wanao utakivuna kwa uchungu mkubwa....Mungu akupe tu maisha marefu.Baadhi ya familia hadi mtoto anashukuru kwa chakula kila anapomaliza kula. Hapana, hilo nimekataza.
Kwani shukrani inahusiana na ugeni? And by the way, kwa hio kwamba wewe huwezi kushikuru kwa chakula? Mtu ukimpa blanket wakat wa barid atashukuru alihitaji wakati huo, chakula wakati wa njaa atashukuru wakati huo, maji wakati wa kiu atashukuru wakati huo. Ukimstiri kwa nguo atashukuru wakati wa kumpa sio kila akivaa, ukimpa malazi atashukuru once or twice alipokuja ukampokea na atakapoondoka labda.Naomba nikosolewe au kupongezwa kwa utaratibu nilioelekeza nyumbani kwangu kwamba ni marufuku wife kupokea shukrani za mgeni anaeshukuru kwa chakula.
Hii imekua ikitokea hata kwa wageni ambao wanaishi muda mrefu, kwamba kila anapomaliza kula anamuangalia “mama mwenye nyumba” na kumshukuru kwa chakula.
Nimekataza hilo na kuelekeza shemeji yenu wakati wote kutoa elimu kwa upole kwa mgeni atakayeshukuru kuwa hatuna utaratibu huo na asiwe na hofu, ajisikie huru na kwakuwa ni mgeni wetu tunatamani ajione ni sehemu ya familia na anahaki na fursa sawa na wengine tuliopo.
Binafsi naona utamaduni huo ni unaguzi na unachochea madaraja na kufanya mgeni aendelee kujihisi ni mgeni wakati wote na chakula kwake aone kama hisani ambayo hakustahili kupata.
Nafikiri kwanini mgeni huyo asishukuru anapomaliza kuangalia televisheni kipindi anachokipenda, au ashukuru kila asubuhi kwa kupewa chumba cha kulala.
Baadhi ya familia hadi mtoto anashukuru kwa chakula kila anapomaliza kula. Hapana, hilo nimekataza.
(Picha haihusiani)