Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Umechelewa sana kujua me nishaamua kuachana na haya mambo kitambo!!Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Wajapan kwa mfano wengi hawaamini kwenye hizi dini 2 lakini ni mojawapo ya nchi zenye ustaarabu mkubwa. Watoto wanalelewa kwenye misingi ya nidhamu. Huku kwetu watu wanajifanya wamebobea kwenye dini lakini kuna ushenzi wa kila aina. Hajulikani kiongozi wala muumini . Shida sana. Kujua dini hakuzuii mtu kutenda maovu period.Naungana na mtoa mada, Samaki mkunje angali mbichi.....
kwa nchi zilizoendelea mtoto kusema hana Dini ni kitu cha kawaida sana ila kwa hizi nchi za kishenzi za Dunia ya Tatu ndo watu wanashangaa, acha mabadiliko yaanze huu upuuzi hata mimi kwa mwanangu ni marufuku.
Kuna watu ambao dini haijawahi kuwapa connection ,ikiwemo mimi. Naendaga kumtukuza Mungu tu basi. Connection zangu ziletokana na shule, vyuo na most of them kazini. Tena kazini ndio kuna connection kuliko kwingine kote.watu hamuelewi mtaji wa kijamii vizuri
ni kama kuwa mwanaume halafu hufuatilii mpira vijiweni utakuwa unatoa macho tu
ndo dini sasa inakupa tiketi ya kuwa karibu na watu, haswa kwa watoto wadogo
Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Utajutia uamuzi huo hadi unashuka kaburini, waulize waliokaa Ulaya watakuambia kukosa kanisa kumewafanya jamii ya aina ganiBaada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Ulaya gani hiyo inauzia watu kuabudu. Mbona unaweza kuabudu vizuri tu ukiwa kule.Utajutia uamuzi huo hadi unashuka kaburini, waulize waliokaa Ulaya watakuambia kukosa kanisa kumewafanya jamii ya aina gani
Huyo anachanganya mambo wala haelewi alichosndika.Ulaya gani hiyo inauzia watu kuabudu. Mbona unaweza kuabudu vizuri tu ukiwa kule.
Huhitaji Degree kuelewa nilichokiongea.Yeye anadhani duniani kote ni wajinga, watu tunaenda makanisani kwa sababu za kijamii, hayo mengine unayoubiliwa kwa sasa hayana nafasi kwa maisha ya leo haina tofauti sana na kuendekeza waganga, majini nk
Kifupi makanisa yameonesha ni old version ya mtindo wa kuishiHuyo anachanganya mambo wala haelewi alichosndika.
Mfano mimi nilikwenda Ujerumani kuna makanisa mengi tu lakini vijana hawaoni umuhimu wa kanisa wala Mungu na wana sababu zao.
Chamoto zao zote zinamalizwa na wataalam wao, kuanzia afya, elimu, miundombinu nakadharika.
Sasa hawa issue ya kanisa ni ngumu kidogo kwao maana wamezaliwa na kukuwa na kuamini binadamu anaweza kufanya yote.
Ujerumani kuna Waturuki wengi sana hawa ni waislamu ndio angalau kama wanatangaza kitu kipya kupromote Islam na wapo vijana kweli wanaingia uislamu waone kuna jipya gani, wazungu wanapenda sana kujifunza kitu kipya, lakini Ukristo hauna jipya kwa ulaya.
Ujinga wa dini ni kukulia Muda na fedha tu kwa sababu tangu uanze kwenda wewe ndie mpelekaji wa hela ,matoleo, sadaka na vitu vingine kibao ila wao hawana cha kukupa zaidi ya neno So called la MunguKuna watu ambao dini haijawahi kuwapa connection ,ikiwemo mimi. Naendaga kumtukuza Mungu tu basi. Connection zangu ziletokana na shule, vyuo na most of them kazini. Tena kazini ndio kuna connection kuliko kwingine kote.
Mkuu kupost shule ndo akili?Umepost shule niliyosoma mimi AZABOY na PUGU nikajua una akili kumbe bado we mtumwa wa hizo historia za uongo za kwenye biblia na misahafu unaambia Yesu alipaa mbinguni mara Mtume alienda na farasi mbinguni kuswali na wewe unaamini huku shule ulijifunza Gravitational force.
Utetezi wa kijinga kabisa, hizo ni personal issues nothing to do with doctrine.Nina 50 yrs kanisani nimekanya mara ya mwisho miaka 30 iliyopita na sina taabu yoyote sijawahi pata kesi hata ya kusingiziwa, sinywi pombe sivuti sigara nipo na familia wao wanasali mie sisali maisha yanaendelea, sababu za kuto kusali ni binti aliyekuwa rafiki yangu (urafiki wa kawaida) alipata ujauzito halafu akasema ni wangu kwakuwa tulikuwa wanafunzi mie advance yeye o'level hii kesi ilinisimamisha masomo na kipindi hicho 1994 vipimo vya vinasaba hapa kwetu sijui, ikumbukwe sikuwahi kula huu mzigo nilisimamishwa masomo sasa binti akajifungua kopi ya mchungaji wa kanisa tulipokuwa tukisali na ilibainika baadae kuwa kumbe mchungaji ambaye pia alikuwa family friend wa familia ya binti aliepewa mimba kumbe ile ishu ilipangwa ili kuondoa fedheha kwa mchungaji na iliposemwa kuwa nimempa mimba haikuwa ajabu kwani nilikuwa karibu nae sana.
Baba mzazi wa binti alikula mlungula wa maana kuuficha upuuzi huu na kutokana na kusimamishwa masomo ikabidi baba anipeleke private nikamalizia huko sijajuaga huyo mchungaji na huyo binti waliishia wapi tangu siku hiyo nikimuona mchungaji yeyote ni bora Nikae na shetwani labda tutaelewana sijakanyaga kanisa lolote hadi leo na sitaki kusikia dude linaloitwa mchungaji upuuzi mtupu
EwaaaImani pekee niliyo nayo ni Juu ya Familia yangu, Wazazi, Mke na Watoto pengine na ndugu wa karbu maana tangu nizaliwe Dini haijawah nisaidia chochote licha ya kwamba mimi nimeusaidia sana kwa kutenga muda na VIBUNDA vyangu ili isonge mbele.
Ni vyema mtu ajifunze dini kwanza aijue ili aikosoe vizuri kishaa aachane nayo kabisa, so waache wajifunze waujue ujinga wa huko huku nawe ukiwafundisha maisha mwisho wataamua wenyewe kuendelea kua wajinga au waelevu.
Kumbuka huna mbingu ya kumpeleka mtu ko tusilazimishane ili siku ya majuto tusilaumiane🤣