Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiwa nyumbu itawagharim nn maishaniWakiwa nyumbu nitajilaumu kwa kushindwa kuwaelekeza njia sahihi za maisha na nitakuwa baba wa hovyo.
Wewe mwenda kanisani ndio baba mwerevu?Hakuna anaekupinga lakini watoto wako wana bahati mbaya ya kuwa na baba mjinga kama wewe
Hata nao wana miungu yao wanaiabuduItafikia sehemu suala la imani litabakia kwa wazee km nchi za EU/US/Japan wao wanachofundishwa hasa kwa nchi za Asia ni nidhamu na heshima na maadili jinsi ya kuishi na kufanya kazi,wanatamaduni zao and they follow it,Ila si hii brain wash iliopo Africa it’s too much
Yakobo 1:27naunga mkono hoja, me mfia dini kweli kweli dini za sku hizi zinatugeuza manyumbu.
kitaku cha mathayo kinasema dini iliyosafi ni kutazama yatika, wajane na masikini katika shida zao kwisha.
asante sana ubarikiwe nilikuwa nawaza wapi sijui.Yakobo 1:27
Waambie ukweli ndugu yanguItafikia sehemu suala la imani litabakia kwa wazee km nchi za EU/US/Japan wao wanachofundishwa hasa kwa nchi za Asia ni nidhamu na heshima na maadili jinsi ya kuishi na kufanya kazi,wanatamaduni zao and they follow it,Ila si hii brain wash iliopo Africa it’s too much
Hivi una ubongo kweli? Hujasoma hata jinsia yangu inaelekea una msongo wa mawazo elekea kwa Mwamposa ukauziwe mafutaUnaweza kuonekana umekomaa sababu ya shida. Hakuna mzazi anaweza kuja andika huu utumbo. Sema tu nyie wanawake wa siku hizi hamjielewi
Akishatumika vibaya itam affect nn huyo mtotoHujui yatakayomfika mtu akiwa Nyumbu?
Atatumika vibaya na jamii ya wajanja wajanja kama ilivyo kwa hawa manabii wa hovyo
Waache wakue wapate maadili ya kiimani hata kama wewe huko haupo, kwa sababu ulishawaanzisha acha washiriki.Nielekeze njia sahihi