Acha kuheshimu mawazo ya kijingaNi mtazamo wako
Na me naheshimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuheshimu mawazo ya kijingaNi mtazamo wako
Na me naheshimu
Umri wako.Unahisi nina tatizo la kizazi au?
Kwa hiyo kumbe unakubali kuwa kuna peponi?hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Kwani wakienda wakawa manyumbu ww utapata hasara ganiBaada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Nadhani umekuwa brain washed wewe!Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzisha hizo dini na kuprint hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu
Unaweza kuonekana umekomaa sababu ya shida. Hakuna mzazi anaweza kuja andika huu utumbo. Sema tu nyie wanawake wa siku hizi hamjielewiAngalia profile yangu utaelewa mi ni wa lini?
Utagongewa likes na wajinga wenzio! Hakika utakuwa na li kizazi la hovyo kuwahi kutokea!KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Nyie wa Rungwe makaburi yenu yapo nyuma ya vyoo.Nitaandika nizikwe kwenye moja ya viwanja vyangu au kwenye katikati ya shamba langu la miparachichi TUKUYU-RUNGWE
Imani unaruhusiwa kuamini ukweli au uongo. Ni haki ya kikatiba na kibinadanu.Nanukuu:
"Watu wote wanaokufa na kuzikwa, wanakuwa maiti, kwa maneno mengine mizoga, na mizoga yao inafukiwa.✅
Hizo sherehe za kuombewa na kasisi, mchungaji, Shehe, ni maigizo ya kuwafariji nyie mliobaki, aliyefariki hayo kashawaachia nyie yeye hata hajui huko."✅
Sehemu iliyobaki (sikuinukuu)kwenye komenti yako; hayo ni mambo ya Imani. Na Imani ya mtu sio rahisi kuibadili. Mimi naamini kifo sio mwisho kuna maisha mengine baada ya kifo.
Sawa. Hakuna sababu ya kuijadili imani ya mtu kwani ni faragha ya mtu binafsi.Imani unaruhusiwa kuamini ukweli au uongo. Ni haki ya kikatiba na kibinadanu.
Sasa kwa nini tuijadili?
Tunajadili facts. Imani haijadiliwi. Ni jambo la faragha ya mtu binafsi.
Naam,Sawa. Hakuna sababu ya kuijadili imani ya mtu kwani ni faragha ya mtu binafsi.
Lakini Imani yaweza kujadiliwa pale ambapo Imani na Maudhui yake inapowekwa hadharani na Ushawishi wake kana kwamba ni jambo mtambuka.
Na hapo ndo tunapata mgawanyiko: Kundi la wenye kukubaliana kwamba ni ya kweli na kundi la wenye kuikataa na kudai sio ya kweli. Lakini pia huwa kuna lile kundi la tatu ambao ni wale ambao hawajui waangukie upande gani. Hawa ni hatari kwani wakipata Ushawishi wanayumbayumba leo huku, kesho kule. Hawana msimamo.Naam,
Na ikishawekwa hadharani haijadiliwi kama imani, inajadiliwa kama imani ya kweli ama la.
Utashambuliwa na wafia dini kila kona, wanakuja hapa
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Wakiwa nyumbu nitajilaumu kwa kushindwa kuwaelekeza njia sahihi za maisha na nitakuwa baba wa hovyo.Kwani wakienda wakawa manyumbu ww utapata hasara gani
Unavofanya hivyo maana ake kuna kitu kinaku drive against na kama unakuwa drived ina maana ipo nguvu inakupelesha so things are really
Mkuu naomba nikutumie sms Ili ikiwezekana unadili mawzo mawiliBaada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
1.Nia yangu nataka watoto wangu wawe huru kuchagua dini watayoielewa huko mbeleni wakikua naepuka kuwabaka kimaamuzi kwa kuwabatiza na kuwapeleka mafundisho ambayo hata wao hawakuwa tayari kuyapokea.Lazima atakuwa na sababu za msingi za kufikia uamuzi huo. Cha msingi ni kuwa na mtazamo neutral ukianza kumsikiliza.
CC: Billie - tunaomba utagute muda wa kufafanua hoja moja baada ya nyingi ili tuelewe msingi wa maamuzi yako.