Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Umempa Shetani watoto awalee...
 
Unaenda Church kama backup ili ukifa uzikwe vizuri?
Kuna wajinga huamini hivyo uko sahihi kuuliza hilo swali

Church ni more than that concept

MV Bukoba ilizama kuna watu mamia waenda kanisani maiti zao hazijawahi patikana hadi leo

Pia Air Malaysia ilikuwa na waenda kanisani kibao hadi leo wote hajawahi patikana hata mmoja ndege ilivyoruka ilipotea kimoja pamoja na abiria wote ndani ya ndege

Kanisa ni zaidi ya kuzika waliofariki
 
Kwa kweli tunaenda kuwajaza watoto mataka taka yasio na ulazima vichwani mwao bila sababu ya msingi.
Kwa hiyo akienda shule kusoma historia kuwa binadamu wa kwanza alikuwa sokwe na alipatikana Tanzania hiyo iko sawa?
Kuwa sisi watanzania ni kizazi cha sokwe na wajomba zetu nyani na ngedere kwa hiyo hapo sawa? Wewe kizazi cha sokwe
 
Kwa hiyo akienda shule kusoma historia kuwa binadamu wa kwanza alikuwa sokwe na alipatikana Tanzania hiyo iko sawa?
Kuwa sisi watanzania ni kizazi cha sokwe na wajomba zetu nyani na ngedere kwa hiyo hapo sawa? Wewe kizazi cha sokwe
Iko sawa ndio, ko we huamin evolution lakni unaamini binadamu aliumbwa kwa udongo sio?
 
Basi post #2 ni pointless.

Kwa sababu si lazima kuzikwa na kanisa, na wala si lazima kuzikwa na City.

Mtu anaweza kuzikwa na ndugu zake lakini si kikanisa, na wala si kuzikwa na City.

Why do people have such a limited inagination?
Hujazungumzia ile hoja ya kufukiwa kama mzoga alivyokuuliza Dr. Hapo unasemaje?
 
Hujazungumzia ile hoja ya kufukiwa kama mzoga alivyokuuliza Dr. Hapo unasemaje?
Kwanza kabisa, kufukiwa kama mzoga maana yake nini?

Watu wote wanakufa na kuzikwa, wamakuwa maiti, kwa maneno mingine mizoga, na mizoga yao inafukiwa.

Sasa unaposema "kufukiwa kama mzoga" unamaanisha nini?

Hizo sherehe za kuombewa na kasisi, mchungaji, Shehe, ni maigizo ya kuwafariji nyie mliobaki, aliyefariki hayo kashawaachia nyie yeye hata hajui huko.
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Waache waende kanisani, wakifikia umri wa maamuzi watajua cha kufanya. Huenda hata wewe shida ni kukosa mafundisho ya msingi ya dini ndio maana unashindwa kuelewa mafundisho ya kawaida kabisa ya dini.
 
Kuna wajinga huamini hivyo uko sahihi kuuliza hilo swali

Church ni more than that concept

MV Bukoba ilizama kuna watu mamia waenda kanisani maiti zao hazijawahi patikana hadi leo

Pia Air Malaysia ilikuwa na waenda kanisani kibao hadi leo wote hajawahi patikana hata mmoja ndege ilivyoruka ilipotea kimoja pamoja na abiria wote ndani ya ndege

Kanisa ni zaidi ya kuzika waliofariki
Kwanini watu wawekeze mtaji mkubwa kwenye kutunza heshima ya maiti kuliko kujikita zaidi kujali katika utu kwenye vitu ambavyo bado kwa wakati huo vinaendelea kupumua?

Ndio yale mambo ya mtu anaumwa hakuna wakujitokeza kutoa pesa za matibabu lakini mtu huyo akifa ghafla value yake inapanda.

Hata kama alikuwa kafia Mwanza na kwao ni Mbeya, watu watakuwa tayari kuchangia pesa za usafiri..

Hiyo ni kwasababu ya mazoea ya watu kupenda kuzipa thamani maiti kuliko kuthamini yule aliyekuwa hai.

Na ndio maana unaona mdau anashangaa maisha bila dini yatawezekanaje ikiwa siku ukifa hakutakuwa na yale mapambio ya wanachama wa kidini.

Ambayo yatakuwa yanatoa faraja kwa wafiwa kuwa kupitia maombi na hayo mapambio basi moja kwa moja inawapa Faraja kuwa mpendwa wao ameenda peponi.
 
Kwanza kabisa, kufukiwa kama mzoga maana yake nini?
Litachimbwa shimo depth 3metres+ na mfu (kilichokufa=Mzoga) kutupwa/kutumbukizwa ndani ya shimo hilo halafu udongo unalundikwa juu kuliziba shimo hilo. Hakuna rituals zozote ni kama inavyokuwa kwa mbwa au paka aliyekufa.
 
Litachimbwa shimo depth 3metres+ na mfu (kilichokufa=Mzoga) kutupwa/kutumbukizwa ndani ya shimo hilo halafu udongo unalundikwa juu kuliziba shimo hilo. Hakuna rituals zozote ni kama inavyokuwa kwa mbwa au paka aliyekufa.
Watu wote wanaokufa na kuzikwa, wanakuwa maiti, kwa maneno mingine mizoga, na mizoga yao inafukiwa.

Hizo sherehe za kuombewa na kasisi, mchungaji, Shehe, ni maigizo ya kuwafariji nyie mliobaki, aliyefariki hayo kashawaachia nyie yeye hata hajui huko.

Watu wana uwezo mkubwa wa kujidanganya wao wenyewe kwa "manufactured reality", ndiyo hizo rituals.

Umetenganishwa na mpendwa wako kwa kifo, hutaonana naye tena, unajitungia uongo na ujinga kwamba utaonana naye tena mbinguni ili kujifariji tu.

Ndicho kinachofanyika kwenye hizo rituals.
 
Back
Top Bottom