Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

Watu wote wanaokufa na kuzikwa, wanakuwa maiti, kwa maneno mingine mizoga, na mizoga yao inafukiwa.

Hizo sherehe za kuombewa na kasisi, mchungaji, Shehe, ni maigizo ya kuwafariji nyie mliobaki, aliyefariki hayo kashawaachia nyie yeye hata hajui huko.

Watu wana uwezo mkubwa wa kujidanganya wao wenyewe kwa "manufactured reality", ndiyo hizo rituals.

Umetenganishwa na mpendwa wako kwa kifo, hutaonana naye tena, unajitungia uongo na ujinga kwamba utaonana naye tena mbinguni ili kujifariji tu.

Ndicho kinachofanyika kwenye hizo rituals.
Nanukuu:
"Watu wote wanaokufa na kuzikwa, wanakuwa maiti, kwa maneno mengine mizoga, na mizoga yao inafukiwa.✅

Hizo sherehe za kuombewa na kasisi, mchungaji, Shehe, ni maigizo ya kuwafariji nyie mliobaki, aliyefariki hayo kashawaachia nyie yeye hata hajui huko."✅
Sehemu iliyobaki (sikuinukuu)kwenye komenti yako; hayo ni mambo ya Imani. Na Imani ya mtu sio rahisi kuibadili. Mimi naamini kifo sio mwisho kuna maisha mengine baada ya kifo.
 
Inatia faraja kusoma vijana wengi wa kiafrika wakiendelea kushinda hofu tulizopandikizwa utotoni za lidude la kutisha litakalochoma watu moto kwa kutofuata amri ambazo zimeandikwa na vibabu vya kizungu na kiarabu.

Ukristo, uislamu na dini zote 'za kuja' ni utumwa wa kijamii na kiutamaduni kwa muafrika.
Tuendelee kuwalinda watoto wetu dhidi ya ukoloni mamboleo na upotoshaji wa dini za kuja.
 
Inatia faraja kusoma vijana wengi wa kiafrika wakiendelea kushinda hofu tulizopandikizwa utotoni za lidude la kutisha litakalochoma watu moto kwa kutofuata amri ambazo zimeandikwa na vibabu vya kizungu na kiarabu.

Ukristo, uislamu na dini zote 'za kuja' ni utumwa wa kijamii na kiutamaduni kwa muafrika.
Tuendelee kuwalinda watoto wetu dhidi ya ukoloni mamboleo na upotoshaji wa dini za kuja.
Asante kwa uelewa wako uliotukuka maana watu weusi wameletea dini ila wamelikumbatia kuliko aliewaletea na kulitunga.
 
Hatuhitaji dini kufundisha watoto upendo wala heshima na ubinadamu.

Mtoto anapaswa kuelewa kwamba kusema uongo, kuiba au kuua ni matendo mabaya kwa sababu ya madhara yake kwa binadamu wengine. Si kwa kuwa yanamchukiza mungu wa kwenye ngano za wayahudi.

Pia, socialization si kanisani au msikitini tu.
Watoto wana-socialize shuleni, mitaani na weekends wanaenda clubs za hobby zao.
Wanajenga network bila kutishwa na mipumbavu ati watachomwa moto na yule Mungu mkatili anayeangamiza viumbe kwenye ngano za waarabu, wayahudi na wazungu.
 
Kwanini watu wawekeze mtaji mkubwa kwenye kutunza heshima ya maiti kuliko kujikita zaidi kujali katika utu kwenye vitu ambavyo bado kwa wakati huo vinaendelea kupumua?

Ndio yale mambo ya mtu anaumwa hakuna wakujitokeza kutoa pesa za matibabu lakini mtu huyo akifa ghafla value yake inapanda.

Hata kama alikuwa kafia Mwanza na kwao ni Mbeya, watu watakuwa tayari kuchangia pesa za usafiri..
Nani hao wana tabia hiyo? mimi ukoo wangu tunajaliana kwa shida na raha iwe harusi au misiba tunachangia hata popote alipo hadi usafiri hata akifa popote au harusi popote huko kwenu ambako hamfanyi fanyii hivyo mna laana na pepo la umasikini mabwege nyie
 
Asante kwa uelewa wako uliotukuka maana watu weusi wameletea dini ila wamelikumbatia kuliko aliewaletea na kulitunga.
Hawa tutaenda nao taratibu tu, watu wamezaliwa kwenye utumwa wa dini, wanaona ni kawaida tu.
Ni kama vile mtoto wa mtumwa anavyoona utumwa ni kitu cha kawaida.
Inahitaji akili ya ziada kujitathmini na kujikomboa.
Mpaka sasa watanzania/waafrika wengi bado hawaelewi hata mwanzo wa hizo imani.. wao wanaamini tu.
 
Kuna wajinga huamini hivyo uko sahihi kuuliza hilo swali

Church ni more than that concept

MV Bukoba ilizama kuna watu mamia waenda kanisani maiti zao hazijawahi patikana hadi leo

Pia Air Malaysia ilikuwa na waenda kanisani kibao hadi leo wote hajawahi patikana hata mmoja ndege ilivyoruka ilipotea kimoja pamoja na abiria wote ndani ya ndege

Kanisa ni zaidi ya kuzika waliofariki
Kama hao waliokuwamo kwenye ndege we unahisi MUNGU hakujua ni wafuasi wake why aruhusu ndege kupotea.
Stuka neno au kiumbe Mungu hutengenezwa kichwani mwako kwa msaada wa vitabu na ufuasi wa dini husika.
We huoni kwa waislam Mungu kaenda kusema Nguruwe ni dhambi na kwa wakristo Mungu kawaambia haina shida na pia kuoa wake zaidi ya mmoja ni dhambi ila kwa waislam karuhusu sasa huyo Mungu ni yupi na hao Mungu wapo wangapi maana dini hapa duniani ni nyingi.
Twende mbele turudi nyuma waAFRICA vichwa vyetu vina matatizo tulikuwa na dini zetu za asili tukaambiwa ni ushirikina tukaziacha tukabeba za wazungu na waarabu.
 
Kama hao waliokuwamo kwenye ndege we unahisi MUNGU hakujua ni wafuasi wake why aruhusu ndege kupotea.
Stuka neno au kiumbe Mungu hutengenezwa kichwani mwako kwa msaada wa vitabu na ufuasi wa dini husika.
We huoni kwa waislam Mungu kaenda kusema Nguruwe ni dhambi na kwa wakristo Mungu kawaambia haina shida na pia kuoa wake zaidi ya mmoja ni dhambi ila kwa waislam karuhusu sasa huyo Mungu ni yupi na hao Mungu wapo wangapi maana dini hapa duniani ni nyingi.
Twende mbele turudi nyuma waAFRICA vichwa vyetu vina matatizo tulikuwa na dini zetu za asili tukaambiwa ni ushirikina tukaziacha tukabeba za wazungu na waarabu.
Wewe baki na unachoamini imani ni personal affair
.Acha waaaminio chochote waendelee wawe waislamu au wakristo au wapagani kama wewe

Mind your own business and your own beliefs achana na wengine bwege wewe
 
Wewe baki na unachoamini imani ni personal affar
.Acha waaaminio chochote waendelee wawe waislamu au wakristo au wapagani kama wewe

Mind your own business and your own beliefs achana na wengine bwege wewe
Matahira huwa yapo kama wewe badala ya kuandika hoja yanacomment vihoja na matusi
 
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Acha bangi mkuu
 
Back
Top Bottom