Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha unawafundisha kitabu cha power of subconcious mind mkuu 📌🔨Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Yohana 2:19-21.Kwa hiyo mimi jengo hizi imani bwana?
Mimi nilishatoka huko na watoto wangu wote hawajui hata kanisa ni nini.Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
DALA, hii haina sukari.Mimi nilishatoka huko na watoto wangu wote hawajui hata kanisa ni nini.
Pia nilikataa kuwapa watoto wangu majina ya kikristu, nawapa watoto wangu majina ya kiafrika tu, kwa sehemu kubwa ndugu zangu na mashujaa wa kiafrika.
Siwezi kuwapa watoto wangu majina kama Petro, mara Joseph. Sitaki huo ujinga kabisa.
Unaenda kanisani ili ukifa uzikwe kwa misa au ibaada.Ukifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Dead man tell no talesUkifa tukufukie kama mzoga au utazikwa na City?
Basi sitaki kufungamana na kanisa lolote na wala dini yoyote mimi mwenyewe ninatosha kuwa kanisa na miongozo yangu na familia yanguYohana 2:19-21.
Kanisa si jengo.
Kanisa/ HEKALU ni mwili wako,
Madhabahu ni moyo wako.
Ibada hufanyika ndani Yako, Si lazima uende nyumba za kukusanyika .
Sasa kama wewe mwenyewe maisha Yako hayana Ibada, na huna mahusiano na mawasiliano na Mungu,Basi sitaki kufungamana na kanisa wala dini yoyote mimi mwenyewe ninatosha kuwa kanisa na miongozo yangu na familia yangu
Nitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzisha hizo dini na kuprint hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu
Mkuu kuna roho chafu ndani yko…,watu wengi ufikiria Dini ni mambo ya kwenda mbinguni tu, hapana,Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Iyooh kitu ni uongo uwez kufundisha wanao kama wakuu wa makanisa au watumish wa dinBasi sitaki kufungamana na kanisa lolote na wala dini yoyote mimi mwenyewe ninatosha kuwa kanisa na miongozo yangu na familia yangu
Bora...Baada ya kuona ujinga mambo ya makanisani nimeona nipige marufuku watoto wangu kuwa brain washed na mambo ya kanisa na aina zote za imani badala yake nawafùndisha life manners mwenyewe.Kama wataamua kwenda kwenye imani yoyote wafanye baada ya kutoka kwenye himaya yangu.
Mke wangu kwa vile tulikutana ukubwani mi nimeachana nae aendelee kuwa nyumbu wa huu ujinga wa kuwa na matumaini ya kwenda mbinguni.
SERA YANGU:Mbingu yangu ni hii good life niliyo nayo kwa sasa nikifikwa na majanga basi itakuwa jahannam yangu.
KAMA UNAUNGANA NA MIMI GONGA LIKE TUJUANE
Utazikwa kwenye makaburi gani? Inabidi uandae sehemu ya kuzikwa na nduguzo uwajulishe wasije wakahangaishwaNitazikwa ila sitaki maujinga yenu ya kuniombea coz hayasaidii wala nini na sioni tija yake kwa sababu hamjawahi fufua mtu wala kuhakiki kuwa maombi yamemfikisha marehem peponi.
Ni utahira kwa sisi Waafrika kutaka kwenda mbinguni kuliko hata hao walioanzisha hizo dini na kuprint hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu