Nimepigiwa simu na kutukanwa kisa kutoa maoni

Nimepigiwa simu na kutukanwa kisa kutoa maoni

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Habarini za wakati leo, nimekutana na mkasa ulioniacha mdomo wazi. Siku mbili nyuma niliagiza mzigo kutoka China na nikasafirisha na kampuni moja kimsingi ilikuwa ni mara ya kwanza kuwatumia.

Mzigo ulivyofika nilipata usumbufu namna ya kumfikia transporter wa kuleta mkoa nilipo. Karibu siku mbili nahangaishwa tu mwisho ukatumwa na ukanifikia

Sasa shida imekujaje, nikaona ngoja niwasilishe maoni yangu ili kama kuna maboresho waweze kuyafanyia kazi khaa nimepigiwa simu na huyo anaejiita boss wa hiyo kampuni nime TUKANWA sana na kula block juu.

Shida yetu wabongo tukianza kupiga hatua huwa TUNAJIONA tumemaliza kila kitu na customer service hakuna tena.

Ndio yamenikuta leo
 
Sass kama mzigo ulioagiza umeshakufikia kwanini uendelee kuleta usumbufu Mzee Baba! Unajua wale watu wanashughulikia mamia kwa maelfu ya wateja kwa hiyo usitegemee mambo yataenda vile wewe unataka. Badilika wewe na siyo kutaka wenzako ndo wabadilike. Usiku mwema

Aquila non capit muscas!
 
Kwahiyo ndo utoe lugha za kuudhi kwa mteja kisa katoa maoni?
Sass kama mzigo ulioagiza umeshakufikia kwanini uendelee kuleta usumbufu Mzee Baba! Unajua wale watu wanashughulikia mamia kwa maelfu ya wateja kwa hiyo usitegemee mambo yataenda vile wewe unataka. Badilika wewe na siyo kutaka wenzako ndo wabadilike. Usiku mwema

Aquila non capit muscas!
Ndo umtukane mteja kisa katoa maoni?
 
Sass kama mzigo ulioagiza umeshakufikia kwanini uendelee kuleta usumbufu Mzee Baba! Unajua wale watu wanashughulikia mamia kwa maelfu ya wateja kwa hiyo usitegemee mambo yataenda vile wewe unataka. Badilika wewe na siyo kutaka wenzako ndo wabadilike. Usiku mwema

Aquila non capit muscas!

Nakupinga mkuu!! Amazon au Facebook zinahudumia mabilioni ya wateja duniani wakizingua kidogo tu wanaandamwa vibaya mno achilia mbali kuoga matusi na lawama lakini wanafanyia kazi na wanajirekebisa. Kutaka kuonewa huruma kisa una wateja wengi hio entrepreneurial spirit kabisa!
 
Habarini za wakati leo nimekutana na mkasa ulioniacha mdomo wazi. Siku mbili nyuma niliagiza mzigo kutoka China na nikasafirisha na kampuni moja kimsingi ilikua ni mara ya kwanza kuwatumia.

Mzigo ulivyofika nilipata usumbufu namna ya kumfikia transporter wa kuleta mkoa nilipo. Karibu siku mbili naangaishwa tu mwisho ukatumwa na ukanifikia

Sasa shida imekujaje nikaona ngoja niwasilishe maoni yangu ili kama kuna maboresho waweze kuyafanyia kazi khaa nimepigiwa simu na huyo anaejiita boss wa hiyo kampuni nime TUKANWA sana na kula block juu

Shida yetu wabongo tukianza kupiga hatua hua TUNAJIONA tumemaliza kila kitu na customer service hakuna tena.

Ndo yamenikuta leo
Ulitakiwa umpe haki yake...unamuanikaa katika mitandao ili ajifie taratibu
 
Nakupinga mkuu!! Amazon au Facebook zinahudumia mabilioni ya wateja duniani wakizingua kidogo tu wanaandamwa vibaya mno achilia mbali kuoga matusi na lawama lakini wanafanyia kazi na wanajirekebisa. Kutaka kuonewa huruma kisa una wateja wengi hio entrepreneurial spirit kabisa!
Hakika mi naona hajakuwa kiakili au hana washauri wakumshauri namna ya kudeal na wateja wake
 
Sass kama mzigo ulioagiza umeshakufikia kwanini uendelee kuleta usumbufu Mzee Baba! Unajua wale watu wanashughulikia mamia kwa maelfu ya wateja kwa hiyo usitegemee mambo yataenda vile wewe unataka. Badilika wewe na siyo kutaka wenzako ndo wabadilike. Usiku mwema

Aquila non capit muscas!
Mh yani akili za Wanatanzania kama bado zinafanana na hii yako waalah maendeleo mtayasikia tu nchi za mbali, yani kampuni isiwe accurate eti kisa inahudumia watu wengi are you serious? eti usitegemee kuhudumiwa unavotaka, are you for real? dah yani mnaintertain stupid things like that na mnaona ni sawa kabisa hani, nchi za wenzetu iko hivi:-

Kampuni lazima iende na muda watake wasitake , wawe na watu wengi au wasiwe nao lakini muda lazimw uzingatiwe, wakiwa slow means kampuni haifai na watu huikimbia, pia kampuni kama inaona inalemewa na inahitaki kukeep time basi hucancel some orders ama hukataa baadhi ya order ama hukupa tarehe za mbali ili uamue mwenyewe, na ili wabaki na idadi wanayoweza kuhudumia kwa haraka kwa wakati husika.



Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli lakini mi nimeona kalewa sifa tu ambazo hazina msingi hapa pangekuwa panaweza kuweka voice note ningeweka ila kumtaja naona haina afya kwake
Hao lazima ni wale wababe wa bashite A.K.A
s_i_l_e_n_t. ocean
 
Hao lazima ni wale wababe wa bashite A.K
A s_i_l_e_n_t ocean
Hapana sio yupo jamaa mmoja ana mbwembwe kibao nikajua atakuwa smart kumbe nae hovyo kabisa😆😆😆
 
Back
Top Bottom