Nimepigiwa simu na kutukanwa kisa kutoa maoni

Nimepigiwa simu na kutukanwa kisa kutoa maoni

Mh yani akili za Wanatanzania kama bado zinafanana na hii yako waalah maendeleo mtayasikia tu nchi za mbali, yani kampuni isiwe accurate eti kisa inahudumia watu wengi are you serious? eti usitegemee kuhudumiwa unavotaka, are you for real? dah yani mnaintertain stupid things like that na mnaona ni sawa kabisa hani, nchi za wenzetu iko hivi:-

Kampuni lazima iende na muda watake wasitake , wawe na watu wengi au wasiwe nao lakini muda lazimw uzingatiwe, wakiwa slow means kampuni haifai na watu huikimbia, pia kampuni kama inaona inalemewa na inahitaki kukeep time basi hucancel some orders ama hukataa baadhi ya order ama hukupa tarehe za mbali ili uamue mwenyewe, na ili wabaki na idadi wanayoweza kuhudumia kwa haraka kwa wakati husika.



Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Yawezekana jamaa ndo mwenye kampuni...
 
Habarini za wakati leo, nimekutana na mkasa ulioniacha mdomo wazi. Siku mbili nyuma niliagiza mzigo kutoka China na nikasafirisha na kampuni moja kimsingi ilikuwa ni mara ya kwanza kuwatumia.

Mzigo ulivyofika nilipata usumbufu namna ya kumfikia transporter wa kuleta mkoa nilipo. Karibu siku mbili nahangaishwa tu mwisho ukatumwa na ukanifikia

Sasa shida imekujaje, nikaona ngoja niwasilishe maoni yangu ili kama kuna maboresho waweze kuyafanyia kazi khaa nimepigiwa simu na huyo anaejiita boss wa hiyo kampuni nime TUKANWA sana na kula block juu.

Shida yetu wabongo tukianza kupiga hatua huwa TUNAJIONA tumemaliza kila kitu na customer service hakuna tena.

Ndio yamenikuta leo
Pole mzee wabongo hatupendi kukosolewa na tukiwa na wateja wengi wewe mmoja wanini??
 
Habarini za wakati leo, nimekutana na mkasa ulioniacha mdomo wazi. Siku mbili nyuma niliagiza mzigo kutoka China na nikasafirisha na kampuni moja kimsingi ilikuwa ni mara ya kwanza kuwatumia.

Mzigo ulivyofika nilipata usumbufu namna ya kumfikia transporter wa kuleta mkoa nilipo. Karibu siku mbili nahangaishwa tu mwisho ukatumwa na ukanifikia

Sasa shida imekujaje, nikaona ngoja niwasilishe maoni yangu ili kama kuna maboresho waweze kuyafanyia kazi khaa nimepigiwa simu na huyo anaejiita boss wa hiyo kampuni nime TUKANWA sana na kula block juu.

Shida yetu wabongo tukianza kupiga hatua huwa TUNAJIONA tumemaliza kila kitu na customer service hakuna tena.

Ndio yamenikuta leo
Kampuni gani hiyo unaifichaficha si uitaje?
 
Sass kama mzigo ulioagiza umeshakufikia kwanini uendelee kuleta usumbufu Mzee Baba! Unajua wale watu wanashughulikia mamia kwa maelfu ya wateja kwa hiyo usitegemee mambo yataenda vile wewe unataka. Badilika wewe na siyo kutaka wenzako ndo wabadilike. Usiku mwema

Aquila non capit muscas!

Hii inaitwa "accepting mediocrity" kama umelipia huduma, ni haki yako kupata huduma iliyo bora kama ulivyolipia.
 
yaani wafanyabiashara wa kibongo wakishaanza kupata umaarufu tuu wanakua na dharau sana, hopeless kabisa halafu anajita mkurugenzi wa SHAMWAA... jinga kabisa.
 
Voice note hiyo
Duh
Huyu mbona mshenzi sana.


Hawa wajinga wakishaanza kuingiza vijihela basi wanaona kila mtu mjinga.
Wanatukana wateja,wafanyakazi ndo usiseme.
Siyo huyo tu!,wengi tu wana mtindio wa ubongo.

Mteja una haki ya kupokea mzigo Kwa wakati..
 
Ni bongo tu elimu hafifu, kuna jamaa yangu aligiza used camera online ilitoka German $2500 mzigo kufika bongo lenses ziko chin ya specification zilizotangazwa, mwamba akawapigia simu kuripot tatizo baada ya hapk akala block kwa simu akatuma email ala block huko pia akawa kajikatia tamaa
Nikamshauri achukie screenshot ya convo zote alizowah kuchekiana na na wahuni including receipt alizokula ban akaanza kopost kwa social media zao wakiweka tu tangazo jamaa ana spam comment section na malalamiko yake na evidence zake
Wajukuu wa Hitler walimpigia mjukuu wa Nyerere wakaomba msamaha na ninadhani kuna watu walipiteza vibarua vyao wakamtumia mzigo mwingine tena brand new na wakamuomba kama hatojali arudi kwa social media zao asafishe hali ya hewa maana image yao ilikua inaingia doa baya sana globally
Ila sasa ingekua ni kampuni ya kibongo ungeogelea mitusi ukouko twitter sijui instagram kutoka CEO wakikampuni cha kidwanzi
 
Back
Top Bottom