Nimepigiwa simu na kutukanwa kisa kutoa maoni

Yawezekana jamaa ndo mwenye kampuni...
 
Pole mzee wabongo hatupendi kukosolewa na tukiwa na wateja wengi wewe mmoja wanini??
 
Kampuni gani hiyo unaifichaficha si uitaje?
 

Hii inaitwa "accepting mediocrity" kama umelipia huduma, ni haki yako kupata huduma iliyo bora kama ulivyolipia.
 
yaani wafanyabiashara wa kibongo wakishaanza kupata umaarufu tuu wanakua na dharau sana, hopeless kabisa halafu anajita mkurugenzi wa SHAMWAA... jinga kabisa.
 
Voice note hiyo
Duh
Huyu mbona mshenzi sana.


Hawa wajinga wakishaanza kuingiza vijihela basi wanaona kila mtu mjinga.
Wanatukana wateja,wafanyakazi ndo usiseme.
Siyo huyo tu!,wengi tu wana mtindio wa ubongo.

Mteja una haki ya kupokea mzigo Kwa wakati..
 
Ni bongo tu elimu hafifu, kuna jamaa yangu aligiza used camera online ilitoka German $2500 mzigo kufika bongo lenses ziko chin ya specification zilizotangazwa, mwamba akawapigia simu kuripot tatizo baada ya hapk akala block kwa simu akatuma email ala block huko pia akawa kajikatia tamaa
Nikamshauri achukie screenshot ya convo zote alizowah kuchekiana na na wahuni including receipt alizokula ban akaanza kopost kwa social media zao wakiweka tu tangazo jamaa ana spam comment section na malalamiko yake na evidence zake
Wajukuu wa Hitler walimpigia mjukuu wa Nyerere wakaomba msamaha na ninadhani kuna watu walipiteza vibarua vyao wakamtumia mzigo mwingine tena brand new na wakamuomba kama hatojali arudi kwa social media zao asafishe hali ya hewa maana image yao ilikua inaingia doa baya sana globally
Ila sasa ingekua ni kampuni ya kibongo ungeogelea mitusi ukouko twitter sijui instagram kutoka CEO wakikampuni cha kidwanzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…