luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Mimi nilijifanya mluga luga toka ulanga huko milimani basi jamaa akajua kaokota dodo ktk mpera ππHao wanawatapeli wajinga wenzao.
Sisi wengine wakijaribu tu imekula kwao.!
Ungemsogeza karibu mwisho wa siku ungemshikisha ukuta!Mm nili jifanya mluga luga toka ulanga huko milimani basi jamaa akajua kaokota dodo ktk mpera ππ
Ana bahati sana siku wa rekodi ila.mpaka sasa namba zao.zapatikana ukiwatwangia walivyo wajinha wana pokea.Ungemsogeza karibu mwisho wa siku ungemshikisha ukuta!
Ww ni mtua?
HahahaHuwa mara nyingi wananifuata kwa njia hiyo, huwa nawamalizia stress zangu zote oops
πππ Nilikuwa Dublin muda mrefu ndio mara kwanza kujutana na huu ulimbukeniKawaida mbona hiyo wapo kitambo mkuu! Labda kama ndio leo umepatwa.
Mi nikisikia tu,"habari yako,napiga cm kutoka Tigo"wakati namba ni ya voda!!!hapo hapo natoa https://jamii.app/JFUserGuide za kutosha.Mateli ya mtandao yamerejea.
Mapuuzi yamekutana na mtu mwerevu. Basi naomba ni share namba zao na ujumbe wao incase wakikutafuteni nanyi msiwape nafasi.
View attachment 2296573
View attachment 2296563
Mkuu kwa staili hiyo wakifanya kwa watu 100 lazima watu 5 au 3 wataingia mkenge tuu,πKuna mmoja alinipigia ananiambia mtoto wako kaanguka shule anatokwa dam puani mm ni dereva wa shule nimepewa jukum la kumleta hosptal....nimefika hosptali hapa wametaka 50000 waaanze huduma tuma fasta kwa no hiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....wasenge wale kidogo niingie mkenge *****
Kwa hiyo ulijifanya wewe Mtua wa Epanko au ni Mbuyi kutoka Isongo! ππMm nili jifanya mluga luga toka ulanga huko milimani basi jamaa akajua kaokota dodo ktk mpera ππ
strees gani au anaoga mitusi?Huwa mara nyingi wananifuata kwa njia hiyo, huwa nawamalizia stress zangu zote oops