Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Subiri tu utazielewa wala usiwe na haraka.Kwani oppo zetu zina shida gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri tu utazielewa wala usiwe na haraka.Kwani oppo zetu zina shida gani mkuu
Sawa mkuu kwahiyo kunaSubiri tu utazielewa wala usiwe na haraka.
Ya kichina mara nyingi inasema hauko WA official hata kama uko official, kama ni ban wanasema umekiuka taratibu ni hizo nyingine.Basi nipo hapo kwenye simu za kichina
Hizi oppo zinanin kwan mana natumia oppo na nimekula ban whatsap hataubadili namba kaz bureSimu yako ni Oppo?
Duh!Hili swali mtu anaweza kuhisi utani ila lina maana sana. Sijui kuna tatizo gani kati ya Oppo na Whatsapp.
Utakua unatumia 0pp0 au vivoNakosa huduma za whatsap kila nikidownload app yao wanaifungia wanasema sio Official wakati ni from playstore
Vivo na oppo used au?Utakua unatumia 0pp0 au vivo