kwa hiyo unataka kuniambia kwamba jamaa aoe mwanamke ambaye anajua kabisa kuwa anachapiwa?Chukua hilo tukio alafu piga picha kwa binti uliozini nao then unaambiwa yule uliyelala/unakwenda kum§§%€<nya guest room ni mchumba watu!.
Usiwe mwepesi kumpiga nguruwe mshale!.
Kusema ukweli ndoa ni very outdated institution. Asilimia kubwa ya watu wengi huingia huko kwa ssb ya social conformity.Kataa ndoa wamefika hapa? Au wamewaachieni dunia iwafunze?
Ndugu elewa kitu kimoja mwanaume anaweza kuoa matala na Wala hamna shida je mwanamke anaweza kuolewa matala ,,,,,Nakuunga mkono kwa hoja yako, lakini ndugu yangu kuna mambo mengi sana yasiyofurahisha ambayo hufanywa na wachumba wa pande zote mbili kwa siri kuchunga mchumba asiyajue, sasa hili limejulikana lakini kwa njia ya hila.
Ndiyo nikasema aweza akafumbia macho na pasiwe na madhara yoyote kama mchumba huyo ana upendo kwake usiotiliwa mashaka .
Na kwa teknolojia za kisasa kuhusu sayansi ya picha ipo advanced sana, kiasi cha mtu kushindwa kutofautisha ya kweli na ya uongo.
Lakini huyo mchumba kama ni shakubimbi kweli na ameridhika naye, kipimo cha kwanza kimekwisha kupita, ampime kwa mambo mengine sasa kisha achukue hatua nadhubuti.
Kwenye mabaraza ya usuluhishi wa ndoa, huwa hatutoi ushauri wa kuvunja bali wa kujenga.
Fanya maamuzi.kwa hiyo unataka kuniambia kwamba jamaa aoe mwanamke ambaye anajua kabisa kuwa anachapiwa?
Be a man bro kwa umr huo kuna kipi kigen unaoa ili ugonge au heshima kua una mke na azae oa tia mimba atatulia tu hao wanaokujaza upepo kua hajatulia ukiwafuatilia wapenz wao utasema bora ya wewe hizo ni kama zile story za mtaan flan malaya ana ukimw wakat hata kumpima hujawai sikiliza moyo wako fanya kinachokupa furahaNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri
Kwann una code zangu mkuu?Bikra ndo tunao kwa ndoa tushawaambia hawa wengine ni sogeza tuishi tu mkuu.......
Tatizo vijana mchana sana notes za masomo ya nyuma....
Jamaa bana, moto umewaka unamwambia mtu aingie tu akaokoe baiskeli. Angekuwa demu tu hajatoa mahari wala nini hapo sawa. Angeweza kuwaza labda kwa kuwa hajampa indications za kumuoa, anahaha kwamtu wake wa zamani.Kwanza huyo jamaa aliyepata namba yako ulipaswa kumpuuza ili kuepusha stress za mapema, pili whatever umetoa au hujatoa mahali, kata shauli kama umempenda naye hivyo, endelea na process.
Vinginevyo hutapata au utapata ajuza, wako tu peke yako -Asante.
Ndiyo vizuri nyota njema huanzia nyumbani, wako wengi haoNdugu zangu mimi nipo DSM nimechumbia Arusha.. Na nilipanga ndoa iwe mwezi Wa kumi mwishoni.. Sasa leo wakati nimetulia nikapokea SMS kwenye namba ngeni ikaniambia kwamba mwanamke ninae taka kumuoa ana wanaume wengi na hata nilivyo mvisha pete bado yupo nao na jana alikua lodge na mwanaume.
Nikabisha nikamwambia anipe ushahidi jamaa akaniomba namba za whatsapp nikampa nilicho kikuta sikuamini kumbe jamaa alimrekodi wakati anamla asee ni yeye Kabisa sio editing jamaa kaniambia kwamba kama nina oa nioe tu lakini nijue kwamba naoa mtu Wa namna gani. Hapa nilipo nahisi presha kabisa...
Naombeni ushauri wakuu