Nimepigwa na mume

Wewe dada mzima au una kichaa?dini zote zimeagiza sauti ya ke isizidi ya me ndani,maana ke awe na sauti ya chini kwa mumewe,alichofanya jamaa ni kupunguza sauti yako ndani,nasema hata mimi ningekubonda tu,huwezi kumkoromea mumeo halafu yeye akuangalie tu,tena kakugusa tu,ningekua mimi ungekoma wewe.Wewe dada mzima au una kichaa?dini zote zimeagiza sauti ya ke isizidi ya me ndani,maana ke awe na sauti ya chini kwa mumewe,alichofanya jamaa ni kupunguza sauti yako ndani,nasema hata mimi ningekubonda tu,huwezi kumkoromea mumeo halafu yeye akuangalie tu,tena kakugusa tu,ningekua mimi ungekoma wewe.
 
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
Duuh agrriiii😱😱
 



Wanawake ndio hawajapata malezi mabovu toka kwa mzazi mmojawapo?

Nilipooa nilibahatika kwenda na mke wangu kwao kijijini kuishi kwa muda mfupi. Mambo niliyoyaona huko ni siri yangu lakini nimeamua kuitoa leo. Baba mkwe alikuwa na wakati mgumu sana kwa vile mama mkwe alikuwa amwahodhi watoto na kumtelekeza baba mkwe. Kwa kifupi alikuwa anadharaulika kiasi kwamba nilitamani kukemea.

Niliweka nadhiri moyoni mwangu siku mke wangu atanionyesha dharau ile basi nitampa adhabu kali. Na kweli baada ya kuishi naye kwa miaka 17 hivi siku moja aliniganyia kitu mbaya sana,yaani aliniletea maneno ya dharau.

Adhabi niliyompa hajarudia hata hivi leo,tunaushi kwa kuheshimiana.
 
Miss Chaga katika Ubora wake,Kwa kuongezea tuu Dont try this att Home:bump2:

achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
 

We bana wewee, hujakutana na wadada hawa wa kisasa hasa Wa mijini. Nakubaliana na wewe KUWAPIGA sio poa, ila sio mbaya kwa kuwakumbusha kwa kuwanasa tuvibao tuwili tutatu wakiwa wanazinguazingua ili kuwakumbusha kuwa wao ni nani nasi nivije.
 
Hayo ni mahaba..mm nawashangaa mnaoleta issue kama hizi JF..yaani wazee wako au wakwe..wajomba...wazee wa Dini

.masheikh woote umewakosa
 
Utakuta amekukamata ukiliwa nanii.. Au ndo kakamata mipango.. Au tabia ako imebadlka ghafla.. Nidham imeenda shule... Usaf ndan cfur unachelewa kurud hme nk
 
Hayo ni mahaba..mm nawashangaa mnaoleta issue kama hizi JF..yaani wazee wako au wakwe..wajomba...wazee wa Dini

.masheikh woote umewakosa
kwan humu hao wazee wa din,mashehe hawapo?wewe kama huna ushauri funga domo lako
 
Ukiwa na mke kama miss chagga unatakiwa ulale na helmet, bullet proof vest na ngao kama ya polisi ile kakioo kwa juu na tochi unakuwa unalala huku unamchungulia, akileta fujo zake tu unamdaka fasta. Maana hakawii kukutia marungu kweli
 
Last edited by a moderator:
OK, sasa ishu ni nini Zaidi?
huyu mwanaume anadhani namdharau na hataki nimpinge wala kumrekebisha wala kumshauri kwa lolote analoamua sasa anapoleta hoja tujadili kwa ajili pale mimi ninapoonesha msimamo wangu kutokubaliana naye,mfano anataka kujenga nyumba ya wazaz wake kijijin sasa mimi sikubaliani naye sisi tunaishi town hatuna nyumba tunabanana kweny nyumba za kupanga nikamwambia tujenge ya kwetu then wazazi tutawaboreshea baadae nikampa option nyingine basi we nenda kawajengee wazazi wako na mimi naenda kuwajengea wazazi wazazi wangu tukimaliza program za huko vijijin tutajenga ya kwetu sasa hapo ndo anaona ninamdharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…