BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Duuh agrriiii😱😱achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
Duuh agrriiii😱😱
Pole sana dada.
Wanaume wanaopiga wanawake wengi wao wana shida kwenye uanaume wao au aina ya malezi waliyopata. Kama sio ana ishu ambayo inampunguzia uanaume wake(kama vile matatizo ya nguvu za kiume,uume mdogo,kuonewa na wanaume wenzake physically);-->Wenye shida hizi huhisi kama vile ili ku-prove uanaume wao(male ego) ambao unakuwa umeshuka kwa kasi ya ajabu, basi ni lazima na muhimu wawanyanyase na kuwapiga viumbe ambao ni dhaifu kwao(wanawake, watoto); Na huwa wanakuwa wakali wakali muda wote bila sababu yoyote ya msingi.
Au utakuta something went wrong wakati wa malezi yake(malezi ya mzazi mmoja,mama yake kunyanyaswa na baba yake mbele yake alipokuwa mdogo, historia ya kuwa sexually abused alipokuwa mdogo, malezi ya kimila ambayo yanasisitiza katika kuwaona wanawake kama sio binadamu au kama vile watoto).
Ni ukale wa kizamani sana kupiga mwanamke karne hii(japokuwa nakubali asilimia 100 kuwa mara nyingine wanawake huwa wana tempt sana uwapige---lakini hii kwa mwanaume wa kawaida asie na shida kisaikolojia atajizuia, na akizidiwa sana atampiga mwanamke kofi moja au mawili; Na sio kufikia extent ya kumpiga hadi kumtoa ngeu)
achana na sheria we mvizie usiku kalala mwamshe ile akiitikia tu mdunde na marungu maeneo atakayo umia kirahisi .. ila mlango uwe wazi ukimbie asikukamate .. ila ujiandae kuachika
Pole sana dada.
Wanaume wanaopiga wanawake wengi wao wana shida kwenye uanaume wao au aina ya malezi waliyopata. Kama sio ana ishu ambayo inampunguzia uanaume wake(kama vile matatizo ya nguvu za kiume,uume mdogo,kuonewa na wanaume wenzake physically);-->Wenye shida hizi huhisi kama vile ili ku-prove uanaume wao(male ego) ambao unakuwa umeshuka kwa kasi ya ajabu, basi ni lazima na muhimu wawanyanyase na kuwapiga viumbe ambao ni dhaifu kwao(wanawake, watoto); Na huwa wanakuwa wakali wakali muda wote bila sababu yoyote ya msingi.
Au utakuta something went wrong wakati wa malezi yake(malezi ya mzazi mmoja,mama yake kunyanyaswa na baba yake mbele yake alipokuwa mdogo, historia ya kuwa sexually abused alipokuwa mdogo, malezi ya kimila ambayo yanasisitiza katika kuwaona wanawake kama sio binadamu au kama vile watoto).
Ni ukale wa kizamani sana kupiga mwanamke karne hii(japokuwa nakubali asilimia 100 kuwa mara nyingine wanawake huwa wana tempt sana uwapige---lakini hii kwa mwanaume wa kawaida asie na shida kisaikolojia atajizuia, na akizidiwa sana atampiga mwanamke kofi moja au mawili; Na sio kufikia extent ya kumpiga hadi kumtoa ngeu)
Jamani wadau,
Naomba msaada,
Nimepigwa na mume na kuumia vibaya.
Sheria iko vipi katika hili?
Hongera sana ndugu hiyo huduma adimu sana miaka hii
Hahahaha! Kweli ni adimu.
Miss Chaga katika Ubora wake,Kwa kuongezea tuu Dont try this att Home:bump2:
yani sijawahi kuchepuka alafu ndo aliyenitoa virginitySasa kwanini ulichepuka, ulitegemea zawadi toka kwa mumeo au?
kwan humu hao wazee wa din,mashehe hawapo?wewe kama huna ushauri funga domo lakoHayo ni mahaba..mm nawashangaa mnaoleta issue kama hizi JF..yaani wazee wako au wakwe..wajomba...wazee wa Dini
.masheikh woote umewakosa
kwan humu hao wazee wa din,mashehe hawapo?wewe kama huna ushauri funga domo lako
yani sijawahi kuchepuka alafu ndo aliyenitoa virginity
Umepigwa wapi?maana kupigwa na mume ina maana pana
huyu mwanaume anadhani namdharau na hataki nimpinge wala kumrekebisha wala kumshauri kwa lolote analoamua sasa anapoleta hoja tujadili kwa ajili pale mimi ninapoonesha msimamo wangu kutokubaliana naye,mfano anataka kujenga nyumba ya wazaz wake kijijin sasa mimi sikubaliani naye sisi tunaishi town hatuna nyumba tunabanana kweny nyumba za kupanga nikamwambia tujenge ya kwetu then wazazi tutawaboreshea baadae nikampa option nyingine basi we nenda kawajengee wazazi wako na mimi naenda kuwajengea wazazi wazazi wangu tukimaliza program za huko vijijin tutajenga ya kwetu sasa hapo ndo anaona ninamdharauOK, sasa ishu ni nini Zaidi?